Quantcast
Channel: DIRA YETU
Viewing all 1039 articles
Browse latest View live

UKAWA WAZUNDUA KAMPENI ZAO JANGWANI JIJINI DAR

$
0
0
Agust 29, 2015
Kabla ya hapo, jukwaa lililotengenezwa kisasa likisheheni maspika makubwa yakiwemo yaliyowekwa nje ya eneo la mkutano, kwa ajili ya watu wengi zaidi walioshindwa kufika katikati ya viwanja, kulikuwa na burudani zilizooneshwa na wasanii mbalimbali.
Lowassa ambaye pia anapeperusha bendera ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) aliambatana na viongozi wote wakuu wa vyama vinavyounda umoja huo katika uzinduzi huo.
Baadhi ya wasanii maarufu walioporomosha burudani ni Wanawake Band, Juma Kassimu maarufu Juma Nature na Msaga sumu.
Mbali na burudani za muziki, pia kulikuwa na watu wengi waliokuwa wamebeba mabango yaliyoandikwa ujumbe mzito kwenda kwa Lowassa huku wakizunguka nayo kila kona.
Yapo yaliyoandikwa “Mzee ukifika Ikulu tuletee Balali ana pesa zetu nyingi” na “Malofa katika ubora wetu.” Mingine ni “Tutawaonyesha ulofa wetu Oktoba 25.”
Mwandishi wa Mwanahalisi liyefika mapema eneo la viwanja ambavyo awali serikali kupitia Manispaa ya Ilala walikataa visitumiwe na UKAWA, alikuta watu wengi wakiwa wamefika, huku simulizi zikisema baadhi ya watu walilala kutoka jana usiku sambamba na kikosi kilichokuwa kikifunga mitambo ya mawasiliano jukwaani.
Barabara zilianza kufurika maeneo ya Magomeni Mapipa hadi Fire njia panda ya Muhimbili, watu wakionekana kukikimbia huku na kule na wakiimba nyimbo za kuhamasishana na zile zilizolenga kukishutumu Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ufisadi na kushindwa kutimiza ahadi ya “maisha bora kwa kila Mtanzania.”
Wimbo uliotia fora katika nyingi zilizoimbwa na wana-UKAWA, ni “Kama sio juhudi zako Kikwete, Lowassa tungempata wapi?” “Sisisi si mnaona? Muziki wa Lowassa kuucheza hamuwezi.”
Katika kufunga mkutano wa uzinduzi wa kampeni, muongozaji wa mkutano, Mkurugenzi wa Bunge wa Chadema, John Mrema, amesema UKAWA wamemaliza mkutano saa 11.55 jioni ili watu wapate kuondoka salama viwanjani, lakini akataka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) iwahoji kwa barua CCM waliomaliza mkutano wao wa uzinduzi saa 1 usiku.  Mheshimiwa Mbowe akiwatambulisha wagomeba ubunge wa UKAWA wa Dar

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mgombea mwenza, Mh. Juma Duni Haji wakiwasili kwenye viwanja vya Jangwani Jijini Dar es salaam, kulikofanyika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, leo Agosti 29, 2015. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
 Umati wa wakazi wa Jijini Dar es salaam, ukiwa umefurika kwa wingi kwenye viwanja vya Jangwani kuwalaki Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa pamoja na Mgombea mwenza, Mh. Juma Duni Haji, walipokuwa wakiwasili viwanjani hapo, kulikofanyika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, leo Agosti 29, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa akisalimiana na Mgombea Urais wa Zanzibar katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad wakati alipowasili kwenye viwanja vya Jangwani Jijini Dar es salaam, kulikofanyika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama

Sehemu ya Wanahabari kutoka Vyombo mbali mbali nchini wakiendelea kuchukua habari za Mkutano huo, uliofanyika jioni ya leo kwenye viwanja vya Jangwani Jijini Dar es salaam na kuhudhulia na maelfu ya Wakazi wa jiji hilo.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe akimkabidhi, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa pamoja na Mgombea mwenza, Mh. Juma Duni Haji, Kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya Chama hicho kwa mwaka 2015/2020 mara baada ya kuizindua, leo Agosti 29, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, Mgombea mwenza, Mh. Juma Duni Haji pamoja na Mgombea Urais wa Zanzibar katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad wakionyesha vitabu cha Ilani ya Uchaguzi mara baada ya kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe.
Viongozi wa Vyama mbali mbali vinavyounda UKAWA wakionyesha Ilani hiyo mbele ya maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar es salaam, leo Agosti 29, 2015.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe (kulia) akiwatambulisha baadhi ya Wagombea Ubunge katika Majimbo mbali mbali ya jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Mh. James Mbatia akizungumza kwenye Mkutano huo.
Watu wa Msalaba Mwekundu wakiwa wamembeba mmoja wa wakazi wa Jiji la Dar aliepoteza fahamu kwa kukosa hewa kutokana na uwingi wa watu uliofurika kwenye viwanja vya Jangwani, Jijini Dar es salaam leo Agosti 29, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye akitoa salamu zake kwa wakazi wa Jiji la Dar es salaam waliofurika kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es salaam leo Agosti 29, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa akiteta jambo na Mgombea Mwenza wake, Mh. Juma Duni Haji, wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, uliofanyika leo Agosti 29, 2015. 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa akihutubia katika Mkutano huo wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, uliofanyika leo Agosti 29, 2015.

Mmoja wa wanasiasa wakongwe waliotoka CCM, Tambwe Hiza akisalimia.












Hotuba ya Ukawa Jangwani Dar Leo

$
0
0
Wagombea wa UKAWA na Mwenyekiti wa UKAWA wakionyesha Kitabu chao cha Ilani ya Uchaguzi mwaka 2015

HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA
MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA
YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
  1. Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
  2. Miaka zaidi ya hamsini ya utawala wa serikali za CCM na waasisi wake, umekuwa utawala wa wachache walio hodhi madaraka na mali za nchi.
  3. Leo tunaanza safari ya uhakika ya kuleta mabadiliko ya kweli nchini.
    1. Mabadiliko yaletayo neema na kujenga upya mfumo wa uchumi, haki na sheria nchini.
    2. Mabadiliko ya kuimarisha huduma za jamii kama elimu, afya, maji na makazi.
    3. Mabadiliko ya kuondoa umaskini.
    4. Mabadiliko tunayatoahidi ni mabadiliko ya kurejesha matumaini kwa Watanzania kwa kubadili hali zao za maisha.
  4. Kila mwaka hali na ubora wa maisha ya Watanzania imeshuka wakati tunaambiwa kuwa pato laTaifa linakuwa.
  5. Lakini Watanzania wanachotaka siyo takwimu bali kuona kipato chao kinakua, shule, hospitali na barabara bora zinajengwa.
  6. Wanataka kupata maji safi na salama ya kunywa. Wanataka makazi bora.
  7. CHADEMA na UKAWA, tuna dhamira ya kuleta mabadiliko ya kweli ili kuona azma ya Watanzania tangu uhuru ya kuondoa umaskini, maradhi,na ujinga inahitimishwa.
  8. Ili tufanye hivyo tuahitaji tufanye mabadiliko ya fikra, uongozi, sera na utendaji.
  9. Leo Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi za ki-uchumi, kisiasa na kijamii. Changamoto hizi ni matokeo ya sera za utawala wa Chama kimoja wa miaka hamsini. Sote ni wahanga wa siasa na sera hizi.
  10. Miaka Hamsini ya CCM imetosha. Tunataka mabadiliko na siyo ahadi zile zile kila mwaka.
  11. Tusidanganyike, CCM hawana jipya.
  12. Chagueni UKAWA wenye dira ya kubadili maisha ya wananchi.
  13. Mimi ninauchukia umaskini na mimesimamia maendeleo kwa vitendo. Nilipokuwa Waziri Mkuu nilijaribu kubadili hali hii. Nilisimamia ujenzi wa shule za kata, Chuo Kikuu cha Dodoma. Nilihakikisha mikataba mibovu ya maji inavunjwa na sasa wananchi wa kanda ya ziwa wanapata maji safi.Ndugu watanzania
  14. CCM wanauliza tuna mpango gani wa kumaliza umaskini. Sisi hatuahidi tu. Tutatenda.
  15. Ilani yetu ni dira ya kuondoa umaskini kwa mikakati sahihi na siyo nadharia.
  16. Mkakati wa kuondoa umaskini si wa sekta kwa sekta bali wa sekta zote kwa pamoja. Ni ujumla wa utendaji na utekelezaji wa sera za kila sekta utakao leta maendeleo.
  17. Mkakati wangu na UKAWA wa kuondoa umaskini utakuwa na nguzo tano:-
    1. Kupunguza matumizi ya serikali na mashirika yake na kuimarisha utendaji na uwajibikaji.
    2. Kukuza pato la serikali kwa kudhibiti ukwepaji na misamaha ya kodi holela na kuhakikisha nchi inawekeza katika sekta muhimu na inapata gawio halisia kutoka wawekezaji
    3. Kukuza uchumi kwa sera na sheria endelevu ikiwa ni pamoja na kukuza biashara na uwekezaji hasa katika sekta za madini, kilimo, viwanda, ufugaji na uvuvi na kuondoa kodi kwa wanyonge.
    4. Kuimarisha huduma za umma kama elimu, afya, maji na makazi, na mazingira
    5. Kuimarisha utawala bora na mfumo wa haki na sheria chini ya Katiba ya Wananchi.
  18. Chini ya misingi hii na ili kufanikisha mkakati wa kuondoa umaskini, serikali yangu itafanya yafuatayo:-
ELIMU BORA KWA KILA MTANZANIA
Nimelisema hili huko nyuma. Nalisema tena leo. Elimu kwanza, Elimu kwanza, Elimu kwanza.
Kwa hiyo mkakati wetu wa msingi utakuwa kutoa Elimu itatayogharamiwa na serikali kwa kila Mtanzania kutoka elimu ya msingi hadi Chuo Kikuu na pia:-
  1. Kuimarisha elimu ya teknolojia, ustadi na ufundi inayojenga uwezo wa kujiajiri na ushindani katika soko la ajira.
  2. Ujenzi na uimarishaji wa miundombinu ya elimu ikiwa ni pamoja na shule za Kata.
  3. Kusimamia ubora wa viwango vya elimu kote nchini.
  4. Kuimarisha taaluma na mitaala katika mashule.
  5. Kuondoa utoro darasani, na kuboresha afya za wanafunzi.
  6. Kuboresha maslahi na vitendea kazi kwa walimu ikiwa ni pamoja na nyumba, posho ya kufundishia, usafiri na zana za teknolojia.
  7. Kufuta michango ya maabara ya shule za kata
AFYA
  1. Afya na tiba ya kila Mtanzania itagharamiwa kupitia bima za gharama nafuu na mifuko ya hifadhi ya jamii
  2. Tutaimarisha afya ya msingi pamoja na kinga kupunguza gharama za tiba.
  3. Serikali itahakikisha kuna uwiano na upatikanaji wa watumishi wa afya katika kada mbalimbali ili kuleta tija na huduma stahiki.
  4. Itaimarisha miundombinu ya afya pamoja na kujenga hospitali za kisasa ili kusogeza huduma za afya karibu na jamii na pia kuepukana na tiba za nje ya nchi.
  5. Tutarejea kwa lengo la kuboresha maslahi na vitendea kazi katika sekta ya Afya ikiwa ni pamoja na nyumba na usafiri.
  6. Tutathibiti ongezeko la gharama za huduma za afya bila kuathiri uendeshaji wa watoaji huduma za afya kama vile serikali na hospitali za sekta binafsi.
ARDHI, MAJI NA KILIMO
  1. Tutaimarisha mfumo wa umiliki wa ardhi kwa Watanzania na kudhibiti migogoro ya ardhi hasa kati ya wakulima na wafugaji.
  2. Tutapima ardhi yote ya Tanzania na kumilikisha vijiji na wakulima kwa hati za serikali ili kuipa thamani.
  3. Tutaleta mapinduzi ya kilimo kwa kuimarisha elimu, ufundi na teknolojia ya kisasa na kumkomboa mkulima kutoka jembe la mkono.
  4. Tutasimamia kilimo, ufugaji na uvuvi wa kisasa na kuunganisha sekta hizo na ya viwanda.
  5. Kuhakikisha kuwa wananchi wanatunza na kulinda vyanzo vya maji.
  6. Tutakuza kilimo cha umwagiliaji kwa kuwapa wakulima elimu na mikopo ya riba nafuu ya kuvuna maji na kujenga miundombinu husika.
  7. Tutaweka mazingira rafiki yatakayomhakikishia kwa kila Mtanzania kupata maji safi na salama. Kumaliza kero za maji nchini kutamkomboa mwanamke kutokana na adha ya kuchota maji kwa kichwa
  8. Nitafuta kodi zote za mazao na mifugo kwa wakulima na wafugaji.
  9. Tutasimamia kilimo cha biashara kinachozingatia maslahi ya nchi na ya Watanzania.
  10. Tutaanzisha programu maalum ya kufufua mazao asilia ya Tanzania hususan mkonge.
  11. Tutaanzisha Benki ya Maendelo ya Ufugaji na Uvuvi.
MIUNDOMBINU
  1. Tutaboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya Taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa bandari za nchi jirani.
  2. Tutajenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora hasa zile za vijijini.
  3. Tutajenga reli ya kati kwa viwango vya kisasa
  4. Tutajenga shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa misingi ya faida.
  5. Tutajenga miundombinu ya kisasa na kuondosha misongamano ya magari hasa katika majiji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha
  6. Tutaimarisha uzalishaji na usambazaji wa umeme vijijini ili kufikia zaidi ya asili mia sabini na tano ya Watanzania
VIWANDA
  1. Tutaimarisha sekta ya viwanda kuwa mhimili wa uchumi kwa uzalishaji wa bidhaa na ajira endelevu
  2. Tutajenga viwanda vipya vya kusindika mazao ya kilimo, uvuvi na ufugaji.
  3. Tutahakikisha kuwa ndani ya miaka mitano mali ghafi zote za Tanzania zinasindikwa kabla ya kusafirishwa nje ili kuongeza mapato na ajira ya mamilioni ya vijana.
  4. Tutaanzisha Benki ya Ukuzaji wa Viwanda
UCHUMI
  1. Tutabadili mfumo wa Uchumi wa nchi ili kuhakikisha kuwa mfumo wa uchumi wa Tanzania unakuwa ni wa soko-kijamii ambapo nguvu za soko zitatumikia jamii kwa serikali kuweka uwiano wa mapato unaohakikisha huduma za kijamii zinapatikana kwa ufanisi.
  2. Tutalinda sekta binafsi na bidhaa za ndani kwa kuwapa Watanzania upendeleo wa maksudi kwa kipindi cha mpito ili waimarike na waweze kuhimili ushindani. Tutawapa wafanyabiashara wetu upendeleo katika manunuzi ya serikali na kuwajengea mazingira mazuri ya biashara na kodi endelevu.
  3. Tutawawezesha Watanzania kupata mitaji ya biashara kwa masharti nafuu kabisa.
  4. Tutavutia uwekezaji na wawekezaji wenye tija. Kuweka udhibiti wa wahamiaji wasioleta tija wala maslahi kwa Taifa.
  5. Tutaimarisha sera ya ubia baina ya Serikali na Sekta binafsi kwenye maeneo muhimu ya kiuchumi na kibiashara. Pia, kuwawezesha Watanzania kuwekeza kwa njia ya ubia na wawekezaji wenye mitaji mikubwa bila kujali wanapotoka.
  6. Tutaimarisha usimamizi kwa kubadilisha mfumo wa Vyama vya Ushirika nchini ili utokane na uendeshwe na wakulima wenyewe ikiwa na pamoja na kuwawezesha kuboresha makazi kwa mpango wa kushirikiana kujenga nyumba bora
  7. Tutaanzisha na kuwezesha uanzishaji wa viwanda vidogovidogo vinavyotoa ajira kwa wingi kwa kuvihusisha na vyuo vya ufundi na benki maalum kwa lengo hilo.
AJIRA
  1. Tutasimamia swala la ajira hasa kwa vijana kwa kukuza elimu ya ufundi ili waweze kujiajiri
  2. Tutazipa kipaumbele sekta zinazozalisha ajira kwa wingi hasa za viwanda, kilimo, ufugaji, uvuvi na utalii na kuzipa unafuu wa kodi ili zikue kwa haraka.
  3. Tutawapa wawekezaji wakubwa katika sekta hizi upendeleo maalum na viwango vya kodi nafuu.
NISHATI NA MADINI
  1. Serikali itashiriki kikamilifu katika uzalishaji wa nishati
  2. Itatengeneza mazingara mazuri ya kisera yatakayovutia na kuwezesha ushiriki wa Watanzania na ubia kati yao na wageni.
  3. Serikali yangu itaupa uzalishaji mkubwa wa umeme wa maji kipaumbele namba moja, umeme wa makaa ya mawe kipaumbele namba mbili, umeme wa gesi asilia kipaumbele namba tatu na umeme wa urana kipaumbele namba nne.
  4. Serikali itatoa vipaumbele muhimu kwenye usambazaji wa huduma kubwa ya umeme sehemu za uzalishaji uliyolenga masoko ya ndani, ya nchi jirani na ya nchi za kigeni.
  5. Itapitia upya mikataba yote mikubwa ya nishati na madini ili kubaini iliyo mibovu na kuifanyia maboresho.
  6. Serikali yangu itatumia sehemu ya hisa zake kwenye raslimali kubwa ya gesi asilia iliyopatikana hapa nchini kama rehani kwenye kujichukulia mikopo kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya mabomba ya gesi.
  7. Serikali itatoza kodi na ada ndogo zaidi kwa wazawa wenye ubia kati yao na wageni kuliko zitakazotozwa kwa wageni wasiowekeza kwa kushirikisha wazawa.
  8. Serikali itasitisha utoaji wa misamaha ya kodi isiyo lazima kwenye sekta ya madini, na badala yake itawekeza kwenye kuongeza thamani ya raslimali zake za madini.
  9. Tutakuza nishati mbadala kutamkomboa mwanamke kutokana na adha ya kukata kuni
MALIASILI NA UTALII
  1. Tutasimamia uvunaji na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa manufaa ya kila Mtanzania wa kizazi hiki na kijacho
  2. Tutapiga vita ujangiri na kuimarisha utunzanji wa hifadhi za taifa na mazingira
  3. Tutachochea ujenzi wa miundombinu ya utalii nchini ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mahoteli na kuimarisha mafunzo
  4. Tutaongeza idadi ya watalii kufikia milion mbili ifikapo 2020
UTAWALA BORA, ULINZI WA NCHI NA USALAMA WA RAIA
  1. Tutasimamia Katiba mpya inayolinda haki za msingi za wananchi na kuweka bayana mipaka ya madaraka ya serikali na viongozi, Bunge na Mahakama.
  2. Tutaboresha miundobinu ya sheria na kuimarisha utendaji wa Mahakama na maslahi ya wafanyakazi
  3. Tutasimamia haki za raia na kuangalia upya sheria kandamizi ili wananchi kama Masheik wa Zanzibar hawasoti jela kwa sababu za kisiasa.
  4. Tutaimarisha mafunzo ya vyombo ya Polisi hasa wapelelezi na waongoza mashtaka ili wapate uwezo wa kusimamia utoaji wa haki.
  5. Tutavipa vyombo vyote vya ulinzi na usalama nyenzo na kuboresha mazingira yao ya kazi na maslahi
UZALENDO, UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI
  1. Tutajenga uzalendo ili kila Mtanzania aweze kutathmini mchango wake kwa taifa kila siku
  2. Tutaimarisha nidhamu, utendaji na uwajibikaji katika Sekta ya Umma
  3. Tutaimarisha mchango wa Wataalam wetu, wanawake na vijana katika kusimamia uchumi na kuwajengea mazingira stahiki ya kazi pamoja na mafao.
  4. Tutapiga vita rushwa na ubadhirifu katika sekta ya Umma na binafsi
  5. Tutadhibiti na kupunguza matumizi ya serikali ikiwa ni pamoja na kufuta safari za watumishi serikalini zisizokuwa muhimu pamoja na zile za Rais na kupiga marufuku matumizi ya mashangingi serikalini.
  6. Tutadhibiti deni la Taifa kwa kuanza na ukaguzi wa madeni ya serikali ili kuhakiki jinsi yalivyotumika
  7. Tutaimarisha uwazi na kuondoa usiri katika shughuli za serikali na kuweka bayana mikataba yote ya nchi ikiwa ni pamoja na ile ya mafuta, madini na gesi asilia
KUKUZA PATO LA SERIKALI
  1. Tutadhibiti mapato kutokana na raslimali kwa kupitia upya viwango vya mirabaha kutokana na madini na gesi asilia ili kuhakikisha kuwa Tanzania inapata gawio stahiki.
  2. Serikali itaanzisha Wizara maalum itakayosimamia nishati ya gesi na mafuta.
  3. Tutaimarisha ofisi ya Msajili wa Hazina ili kusimamia vema uwekezaji wa Serikali katika mashirika na mapato yake.
  4. Tutahakikisha kuwa mashirika ya umma yanaendeshwa kwa misingi ya faida na uadilifu.
  5. Tutadhibiti ukwepaji kodi za ushuru wa forodha na kupiga marufuku misamaha ya kodi holela ili kuokoa mabilioni ya fedha yanayopotea kila wiki.
  6. Sambamba na hilo tutarahisisha utaratibu wa kulipa kodi ili kuondoa kero na mazingira ya rushwa. Kwa kudhibiti makusanyo ya kodi tutakusanya fedha za kugharimia huduma za msingi kama afya na elimu kikamilifu.
KUIMARISHA MUUNGANO
  1. Tutaimarisha umoja, usalama na udugu wa Watanzania na Muungano kwa misingi ya haki na usawa
WANAWAKE, WATOTO NA WAZEE
  1. Wanawake watapewa fursa na haki sawa katika elimu na uchumi ili waweze bila kuwezeshwa.
  2. Tutahakikisha wazazi wanapata fursa ya kuwa walezi na wafanyakazi kwa kuongeza urefu wa likizo ya uzazi
  3. Tutaimarisha elimu ya watoto hasa wasichana na kukuza fursa zao na kukomesha ndoa za watoto wadogo.
  4. Tutaongeza uwakilishi wa akina mama katika ngazi zote serikalini na mashirika yake kufikia asili mia hamsini ifikapo 2020.
  5. Wazee na wasiojiweza watapewa posho ya kujikimu inayokidhi mahitaji ya msingi itakayowawezesha kuishi kwa heshima na kulinda utu wao ndani ya familia na jamii zao.
SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO
  1. Tutaendeleza na kuwezesha vipaji vya sanaa na michezo
  2. Tutarudisha viwanja vya michezo vilivyovamiwa
  3. Tutafuta kodi zote za vifaa vya michezo.
  4. Tutadhibiti viwango na maadili ya bidhaa za nje zinazoingizwa nchini na kuzitoza kodi halisia
  5. Tutajenga taasisi na vyuo vya kukuza michezo ili kuhakikisha kuwa ndani ya miaka mitano Tanzania inashiriki kwa ushindi katika mashindano ya kimataifa ya soka na riadha
  6. Tutalinda Hakimiliki za sanaa nchini
    7. Tutafuta kodi za sanaa kwa wasanii chipukizi ili kuwapa muda kwa kujijenga.
SERA YA MAMBO YA NJE YENYE TIJA KWA TAIFA
  1. Tutakuza ushirikiano wa Kimataifa wenye tija na Ujirani mwema.
  2. Tutatetea haki za binadamu, usawa wa nchi na kuimarisha ushiriki wa Tanzania katika diplomasia ya kimataifa.
  3. Tutakuza umoja na ushirikiano wa Umoja wa Afrika, Jumuia ya Afrika Mashariki, SADC na Umoja wa Mataifa.
  4. Tutaimarisha Umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kudai mabadiliko ya mfumo ili kuleta usawa wa nchi shiriki.
Ndugu Watanzania
Naomba nimalizie kwa kusema yafuatayo
  1. Natambua kuwa uongozi ni dhamana. Mkinichagua nitaienzi dhamana hiyo kwa utendaji uliotukuka.
  2. Nawaahidi Watanzania kuwa kwa uwezo, akili, uzoefu na nguvu zangu zote nitawatumikia. Nawaomba nanyi mniahidi jasho lenu na uwezo wenu wote ili kwa pamoja tuvuke. Tutajikomboa toka utawala wa CCM unaodumaza uchumi na maendeleo. Tutaanza safari ya uhakika kuondoa umaskini.
  3. Mabadiliko pia ni kuthamini utu na kukataa hadaa ya hongo ili kuuza haki yako ya kuchagua. Msikubali rubuni za uchaguzi kwa kupewa pesa au vitu. Rushwa ya uchaguzi ndiyo sera ya CCM. Ukikubali basi umeuza pia haki na sauti yako ya kuwalalamikia walio madarakani. Imetosha. Tukatae. Tulinde utu na haki zetu. Tuchague mabadiliko.
  4. Mabadiliko ni fikra. Ni kufikiri na kutenda tofauti. Hatuwezi kuendelea kufikiri na kutenda kama kwamba hatuna dharura ya maendeleo. Kwanza tuanze kwa kufanya mabadiliko na tujiamini kuwa sisi kama Taifa tunaweza. Tunaweza kujitegemea na kuleta maendeleo yetu wenyewe bila kutegemea wafadhili. Hii si ndoto. Nchi nyingi zimefanikiwa kuondoa umaskini katika kizazi kimoja. Tujifunze kutoka kwao.
  5. Tuwe taifa linalotumia raslimali zake kujiendeleza na siyo kuwanufaisha wageni na kuwafanya Watanzania watwana katika nchi yao. Inabidi tuache kuwa taifa ombaomba. Tuache kuukubali na kuvaa umaskini kama joho la fahari.
  6. Mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa na CCM. Tusitegemee kuwa leo wana jipya. Ndiyo maana ahadi walizotoa miaka thelathini iliyopita ndizo wametoa juzi. Tukatae hadaa. Miaka hamsini ya CCM imetosha.
  7. Tunaamani kwamba tutashinda kwa sababu Watanzania mpo nyuma yetu. Watanzania mmeamua kuleta mabadiliko. Kura yako ndiyo itakayokuwa mkombozi wako. Hakikisha unapiga na kuilinda kura yako. Wakati wa mabadiliko ni sasa.
Mungu ibariki Tanzania. Asanteni sana

Maalim Seif amlilia Kanali Kimbau

$
0
0


  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akitia saini kitabu cha maombolezi nyumbani kwa marehemu Kanali mstaafu Ayubu Shomari Kimbau, Kinondoni Dar es Salaam. Kimbau pia alikuwa mwanasiasa mstaafu aliyekuwa mbunge wa muda mrefu Wilayani Mafia.


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na mtoto wa marehemu Kanali Mstaafu Kimbau, Omar Ayubu Kimbau, baada ya kutoa mkono wa pole kufuatia kifo cha baba yake marehemu Kanali Mstaafu Ayubu Kimbau. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Ukawa Kumekucha

Mkapa and CCM find out, painfully, that grass-eaters have long memories

$
0
0


MKAPA.jpg
The campaigns are finally under way for the General Election. With only two months to do the necessary work of persuading Tanzanians to vote for them, parties are under considerable pressure.
Admittedly, two months seemed like a bad idea, until the daylong launch by the ruling party this past weekend. Suddenly anything more than six weeks is already looking like four weeks too long. Is this one of the effects of living in the information age?
I experimented for one day, tracking everything labelled “breaking news” in the new media, only to find that the definition of “news” as not one that I shared with roughly 90 per cent of the content producers. Or “breaking,” for that matter.Paradoxically, this has made me quite happy: The old media, especially slow-to-respond old media like print, still has a role in offering the reliability that our fluid online media clearly cannot afford. That said, there is nothing like the online life to keep one abreast of the minute-to-minute shenanigans of our political class.
Unfortunately, considering how suspiciously illegal it is becoming to use frank and salty language in public fora, these self-same politicians could get us into trouble.


In his brief speech during the launch of the CCM campaign, former president Benjamin Mkapa used a few disparaging terms when referring to the general populace’s apparent… um... let’s say ignorance’ of matters. As we all know, what can come across relatively lightly in English becomes fighting words in any Bantu language. I fear that even quoting some of our leadership class is going to result in pesky legal actions if they continue with this behaviour. In this case, a highly insulted, knowledgeable and communicative citizenry have brought that particular fight right back to Mr Mkapa and by proxy the GoP itself. For a long time, the political class, with very few exceptions, has displayed an unfortunate disdain for the citizenry. I lay the blame at Nyerere’s feet with his collective nouns and his dirigiste approach to politics. This has saddled us with a curious “us and them” attitude that delights me, considering our socialist flavoured rhetoric of Comrade this and Ndugu that. While France may never forget Marie Antoinette’s suggestion that starving peasants eat “cake” — she never said that by the way — Tanzanians were once told to “eat grass” so that we could afford a swanky presidential jet.


Yes, well. The GoP’s greatest asset, its many decades in power, is turning into quite the liability. Nothing like having a long history to let that history turn around and bite you in the election manifesto. What we have on our hands with this election, among other things, is a good old-fashioned class war.Tediously common of us, I concede, but wonderful nonetheless. Under the guise of regime change, the opposition is now challenged to do two things: First offer a credible plan for change and secondly bring back some semblance of moral competence. The second one is a tall order for any politician, ever. And as the backlash against Mkapa’s statements has shown, apparently the grass-eaters have long memories, like those of the mysteriously disappearing elephants of Tanzania.


It is in our interest to keep this class war as candid as possible. Paradoxically, our newfound obsession with “polite” language is emerging as one of the biggest threats to democracy we could have dreamed up. One of its more nauseating manifestations is the rendition of parties or their candidates as God-approved. Call this a secular republic? The nerve of it. As if we needed to experiment yet again with the dangers of conflating the rigidities of religion with crass, cynical and dynamic democracy.
As far as possible, we should be having our healthy, cathartic class fights in the form of public dialogue and debate. We’ll need a lot of salty language to tell each other what we really think.
If we insist on too much cleanliness, speechwriters will only offer us the most unobjectionable and soulless pap and politicians will be too careful, too self-contained to tell us what they really think.


By all means, let us parse the promises and the histories of candidates at all levels with the fastidiousness of certified public accountants. Let’s also at least give ourselves a chance to appreciate and protect the messiness of the human side of this engagement.Otherwise, it could be two long months of politicians not actually saying what they really think or feel. And a citizenry that is too constrained to respond to them likewise. And ultimately, a Sunday in October spent voting for paper cutouts of men who have never really shown us what they really think when in high dudgeon.

50 years under CCM rule poverty have increased in Tanzania

$
0
0
Zainab Salehe Abu at 10 years old  
Zainab Salehe Abu: ‘When I grow up I want to be a teacher so that I can help all the kids who don’t have the opportunity to go to school and get an education.’ 

Zainab Salehe Abu, now a shy and slight 10-year-old, has three dreams. If she could, she would eat chicken and rice as often as she liked, see the lions, zebras and elephants in a national park, and, one day, become a teacher.         
But she is not too young to recognise the distance between those dreams and the reality of her daily existence. For now, her horizons stretch no further than the poor district of Tabata Kisiwani on the outskirts of Dar es Salaam, where home is a rough and badly patched tumble of concrete and corrugated iron rooms, and life is punctuated by regular bouts of hunger and malaria.
Although her mother, father and grandmother do what they can to provide for Zainab, her elder brother Richard and younger sisters Zahara and Razia, there is simply not enough money to cover the basics.
“My father is a builder; he gets money when there is work,” Zainab says. “But most of the time there isn’t any work, which means we don’t have money to pay my school fees or buy food. Sometimes the situation is very bad. Last month, I had very bad malaria and I had to miss school and stay at home for a week. I felt lightheaded, my head ached and my stomach was painful, too. I was very scared because I felt as if I was dying.”
The adults in the household tend to eat only one meal a day to ensure that the children get a bit more. Their diet is unvaried – ugali (maize porridge), vegetables and perhaps some fish. Rice is a luxury, meat a rarity. Water, when it flows, comes from a nearby pipe. To ride out the shortages, the family use dozens of buckets to draw and store enough to see them through each month.
While her mother, Rehema, looks after the children, Zainab’s father, Salehe, takes whatever building work he can and earns $80 (£52) in a good month. From that he must pay for food, school uniforms, text and exercise books, and exam entry fees.
Zainab as a baby with her mother, Rehema. Zainab Salehe Abu at the age of five.
Zainab loves going to school, where maths is her strong point – she got 90% in her last exam – and English is a bit of a weakness (29%). Although primary school attendance is free and Tanzania raised enrolment levels from 54.2% in 1990 to 95.4% in 2010, classroom conditions are basic and stretched.
As there are 108 children in Zainab’s class, everything is in short supply. “There aren’t enough desks, so most of us sit on the floor,” she says. “There aren’t enough books, either: we share one book between five, which isn’t very good, because we spend most of our time fighting over them. Everyone tries to pull the book over to their side. And we don’t have enough toilets, so when we go out to relieve ourselves, we stand in one long queue.”

Still, adds Zainab, at least she gets to go to school – a privilege beyond the reach of some of her friends in Tabata Kisiwani.
Away from the classroom, which is a 15-minute walk from home, Zainab enjoys playing football, like her heroes in the Simba Sports Club and Manchester United. Although she admits she isn’t the best striker in the neighbourhood, she did manage to score a hat-trick recently. When she isn’t helping her mother with the washing-up or the family’s laundry, she likes reading and listening to the music that comes from her neighbours’ TVs and radios – especially the local singer Diamond Platnumz.
“I like stories about people and animals,” Zainab says. “My three favourite animals are elephants, zebras and lions. Since I was born, I have never been to the centre of the city and I have never been outside this neighbourhood. I would like to go to Mikumi national park to see the lions, elephants and zebras.”
Zainab’s parents are acutely aware of their poverty and desperate to give their children opportunities that extend beyond Tabata Kisiwani, where their eldest daughter shares a tatty bed with her grandmother, the poorly screened hole-in-the-ground-toilet is used by 20 people, and chickens and children race around the dirty, labyrinthine alleyways. How they will do it is another matter.
Bringing up the subject of the millennium development goals in their tiny bedroom, with its dirt floor and buckets stacked all the way to the low ceiling, feels almost as abstract as discussing fluctuations in the FTSE 100.
Zainab at the age of five with her father, Salehe, and mother, Rehema. Her family and two more relatives slept in this small room in Dar es Salaam. Photograph: Hiroki Gomi  for the Guardian
Things, Salehe says, haven’t changed that much since the Guardian’s last visit five years ago. “As far as healthcare goes, the government doesn’t give free services, so, if you don’t have money, you’ll die if you get sick. Most kids are allowed to go to school now, but we still pay school fees and, if you don’t have money, your child is sent home.”
He and Rehema are thrilled that their children go to school but are almost at their wits’ end trying to pay for it all. “We want them to get the best education they can but, unfortunately, we can’t help them,” Rehema says as she feeds 14-month-old Razia. “We will have to go out and ask good samaritans to help our kids to achieve their dreams.”
Salehe says: “We understand that life is very hard.” But maybe when they grow up, he adds, Richard, Zainab, Zahara and Razia will manage to do what he has never managed: to lift the family out of poverty. For now and the foreseeable future, their four children are the best – their only – hope.
Zainab, who forgets a little of her shyness whenever the talk turns to books or school, is ready to do her bit. “When I grow up I want to be a teacher so that I can help all the kids who don’t have the opportunity to go to school and get an education,” she says. “Education is the key to success. And I want to help others to become successful.”

WAGOMBEA UBUNGE WA UKAWA HAWA HAPA

$
0
0

WAGOMBEA UBUNGE WA UKAWA KATIKA KILA JIMBO LA TANZANIA BARA

Maamuzi ya kupitisha wagombea hao katika majimbo 262 yamesainiwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Profesa Abdallah Safari, Katibu Mkuu wa chama cha National League for Democracy (NLD), Tozzy Matwanga na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Twaha Taslima.

Majimbo matatu yaliyobaki (Mtwara Mjini, Serengeti na Mwanga) yanasubiri muafaka baada ya kujitokeza wagombea wawili kwa kila jimbo huku kila mgombea akidai anakubalika kuliko mwenzake, ingawa vyama hivyo vilishayagawa majimbo hayo kwa chama kitakachogombea.

Jimbo la Serengeti wamejitokeza Marwa Ryoba (CHADEMA) na Mosena Nyambabe (NCCR-Mageuzi), jimbo la Mwanga wamejitokeza Henry Kilewo (CHADEMA) na Youngsaviour Msuya (NCCR-Mageuzi) na Mtwara Mjini wamejitokeza Maftaha Nachuma (CUF) na Hassani Uledi (NCCR-Mageuzi).

Majimbo ya Segerea na Kigamboni ya jijini Dar es Salaam tayari yamefanyiwa maamuzi kwa Julius Mtatiro (CUF) kubaki ndiye mgombea Segerea na Lucy Magereli wa Chadema kuwa mgombea jimbo la Kigamboni.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Dar es Salaam, wakati akitangaza majina hayo Katibu wa NCCR-Mageuzi, Dk. George Kahangwa amesema baada ya maamuzi hayo, haitarajiwi kutokea matatizo ya mivutano kwa viongozi wa ngazi ya mikoa hadi matawi wa vyama vya UKAWA.

“Hatutarajii kuona viongozi wetu wa ngazi zote hasa zile za mikoa, wilaya, kata na matawi wanakuwa kikwazo cha kuyafikia malengo ya kuwakilishwa na mgombea mmoja,” amesema.

“Mgombea yeyote ambaye chama chake hakijaachiwa jimbo analogombea anatakiwa kujitoa katika nafasi yake hiyo na kumwachia mgombea wa chama kilichoachiwa jimbo hilo na kumpatia ushirikiano katika kampeni na utaratibu wa uchaguzi ili tushinde,” amesema Dk. Kahangwa.

Aidha, amesema viongozi kutoka vyama hivyo katika ngazi zote wanapaswa kuzingatia mwongozo wa awali uliosainiwa na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo kuhusu kusimamisha wagombea katika nafasi ya udiwani.

Wakati muongozo huo ulipotolewa, viongozi hao walisema kwamba pale patakapokuwa na mvutano hata baada ya maamuzi ya jimbo limeachiwa chama gani kufanywa, basi viongozi wa kitaifa watakapokuwa kwenye kampeni, watazingatia maamuzi hayo na kuwatakia kura waliopitishwa kulingana na maamuzi yale.

MARA                             

  1. Rorya             CDM STEVEN J OWAWA
  2. Tarime Mjini CDM ESTHER N MATIKO
  3. Tarime Vijijini CDM JOHN HECHE
  4. Serengeti CDM/NCCR MARWA RYOBA/MOSENA J.NYAMBABE
  5. Musoma Vijijini CDM ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
  6. Butiama           CDM YUSUPH R KAZI
  7. Bunda Mjini   CDM ESTHER BULAYA
  8. Mwibara         CDM HARUN D. CHIRIKO
  9. Musoma Mjini CDM VINCENT J NYERERE
  10. Bunda Vijijini CDM SULEIMAN DAUDI
SIMIYU                           
  1. Bariadi             CDM GODWIN SIMBA
  2. Maswa magharibi CDM ABDALA PATEL
  3. Maswa mashariki CDM SYLVESTER KASULUMBAYI
  4. Kisesa             CDM MASANJA MANANI
  5. Meatu             CDM MESHACK OPULUKWA
  6. Itilima             CDM MARTINE MAGILE
  7. Busega           CUF JUMA A MAGOMA
SHINYANGA                          
  1. Solwa             CDM JAMES MSHANDETE
  2. Msalala           CDM PAUL MALAIKA
  3. Kahama Mjini  CDM         LEMBELI JAMES
  4. Kahama Vijijini CDM SIMON BUKAKIYE ISAYA
  5. Shinyanga Mjini CDM PATROAS PASCHAL K
  6. Kishapu         CDM FRED MPENDAZOE
MWANZA                                
  1. Ukerewe         CDM JOSEPH MKUNDI
  2. Magu             CDM KALWINZI NGONGOSEKE
  3. Nyamagana       CDM EZEKIA D. WENJE
  4. Kwimba           CUF JULIUS S OTTO
  5. Sumve           CUF RICHARD M NTUNDURU
  6. Buchosa         CDM MARTINE KASWAHILI
  7. Sengerema       CDM FRANSISCO SHEYJAMABU
  8. Ilemela           CDM HIGHNESS KIWIA
  9. Misungwi         CDM LEONIDAS KONDELA
GEITA                             
  1. Bukombe       CDM PROF. KULIKOYELA KAHIGI
  2. Busanda         CDM ALPHONCE C MAWAZO
  3. Geita Vijijini CUF SEVERINE M MAGESE
  4. Nyang’wale     CDM RICHARD MABULA
  5. Chato             CDM DR. BENEDICT LUKANIMA
  6. Mbogwe         CDM NICHOLAUS H MAGANGA
  7. Geita Mjini       CDM RODGERS LUHEGA
KAGERA                        
  1. Karagwe         CDM PRINCE RWAZO
  2. Kyerwa           CDM BATRINIHO LADISLAUS
  3. Bukoba Mjini CDM WILFRED LWAKATARE
  4. Bukoba Vijijini CUF BUBELWA KAIZA
  5. Nkenge         NCCR ANGELINA MUTAHIWA
  6. Muleba Kaskazini CDM ANSBERT NGURUMO
  7. Muleba Kusini CDM ALISTIDES KASHASILA
  8. Biharamulo       CDM DR. ANTHONY MBASSA
  9. Ngara             NCCR HELENA ADRIAN GHOZI
MBEYA                           
  1. Lupa               CDM NJELU KASAKA
  2. Songwe           CDM MPOKI MWANKUSYE
  3. Mbeya Mjini CDM JOSEPH MBILINYI
  4. Kyela               CDM ABRAHAM MWANYAMAKI
  5. Rungwe           CDM JOHN D MWAMBIGIJA
  6. Busekelo         CDM BONIPHACE A MWAMUKUSI
  7. Ileje               NCCR EMMANUEL MBUBA
  8. Mbozi Mashariki CDM PASCHAL HAONGA
  9. Momba           CDM DAVID E SILINDE
  10. Mbarali         CUF GAMDUST HAJI
  11. Mbeya Vijijini CDM ADAM NZELA
  12. Tunduma       CDM FRANK MWAKAJOKA
  13. Vwawa         CDM FANUEL MKISI
IRINGA                          
  1. Ismani             CDM PATRICK OLE SOSOPI
  2. Kalenga           CDM MUSSA L MDEDE
  3. Mufindi kaskazini CDM JUMANNE K MASONDA
  4. Mufindi Kusini CDM FRANK MALATA
  5. Iringa Mjini       CDM PETER MSIGWA
  6. Kilolo             CDM BRIAN KIKOTI
  7. Mafinga Mjini CDM WILLE MUNGAI
NJOMBE                        
  1. Njombe Kusini CDM EMMANUEL MASONGA
  2. Lupembe       CDM EDWIN E SWALE
  3. Wanging’ombe CDM DISMAS A LUHWAGO
  4. Makete           CDM JACKSON T MOGELA
  5. Ludewa                   CDM ATHROMEO MKINGA
  6. Makambako     CDM MHEMA
RUKWA                          
  1. Nkasi Kusini CDM ALFRED DANIEL SOTOKA
  2. Kwela             CDM DANIEL NAFTAL NGOGO
  3. Nkasi Kaskazini CDM KESSY SOUD
  4. Sumbawanga Mjini CDM SADRICK MALILA
  5. Kalambo         CDM VICTOR MATENI
TANGA                           
  1. Handeni Mjini CUF REMMY A SHUNDI
  2. Handeni Vijijini CUF ROBINSON R KILANGO
  3. Kilindi             CDM JERADI K MREMA
  4. Pangani           CUF AMINA M MWIDAU
  5. Tanga Mjini   CUF MUSSA B MBAROUK
  6. Muheza           CDM ERNEST MSINGWA
  7. Bumbuli         CDM DAVID CHENYEGOHA
  8. Mlalo               CUF GOGOLO SECHONGE
  9. Lushoto         CUF ADAM KAONEKA
  10. Korogwe Mjini NCCR ROSE MICHAEL LUGENDO
  11. Korogwe Vijijini CDM EMMANUEL KIMEA
  12. Mkinga         CUF BAKARI K MBEGA
KILIMANJARO                              
  1. Rombo           CDM JOSEPH SELASIN
  2. Mwanga CDM/NCCR HENRY KILEWO/ YOUNGSAVIOUR MSUYA
  3. Same Magharibi CDM CHRISTOPHER S MBAJO
  4. Same mashariki CDM NAGENJWA KABOYOKA
  5. Vunjo             NCCR JAMES F. MBATIA
  6. Moshi Vijijini CDM ANTHONY C KOMU
  7. Moshi Mjini   CDM JAFARY P MICHAEL
  8. Hai                 CDM FREEMAN A MBOWE
  9. Siha               CDM DR. GODWIN MOLLEL
ARUSHA                         
  1. Arumeru Mashariki CDM JOSHUA NASSARI
  2. Arumeru Magharibi CDM GIBSON MESIYEKI
  3. Arusha Mjini   CDM GODBLESS LEMA
  4. Longido         CDM OLE NANGOLE
  5. Monduli CDM         JULIUS KALANGA
  6. Karatu             CDM WILLE QAMBALO
  7. Ngorongoro       CDM ELIAS NGORISA
MANYARA                             
  1. Simanjiro       CDM JAMES OLE MILLYA
  2. Mbulu Vijijini CDM MIKEL PETRO AWEDA
  3. Hanang           CDM MAGOMA RASHID DERICK
  4. Babati Mjini     CDM PAULINE P GEKUL
  5. Babati Vijijini CDM LAURENT TARRA
  6. Kiteto             CDM KIDAWA ATHUMANI IYAVU
  7. Mbulu Mjini   CDM PAULO HERMAN SULLE
DAR ES SALAAM                           
  1. Ubungo           CDM SAED KUBENEA
  2. Kawe             CDM HALIMA JAMES MDEE
  3. Kinondoni       CUF MAULID SAID
  4. Segerea           CUF JULIUS MTATIRO
  5. Ukonga             CDM MWITA WAITARA
  6. Ilala               CDM MUSLIM HASSANALI
  7. Temeke           CUF ABDALLA MTOLEA
  8. Kigamboni       CDM LUCY MAGERELI
  9. Kibamba         CDM JOHN JOHN MNYIKA
  10. Mbagala         CUF KONDO J BUNGO
PWANI                            
  1. Bagamoyo         CUF DR. ANDREA KASAMBALA
  2. Chalinze         CDM MATHAYO TM. TORONGEY
  3. Kibaha Mjini CDM MICHAEL PAUL MTALY
  4. Kibaha Vijijini CDM KINABO EDWARD KINABO
  5. Kisarawe       CUF RASHID M MZANGE
  6. Mkuranga         CUF ALLY UBUGUYU
  7. Rufiji Utete     CUF KULUTHUMU MCHUCHULI
  8. Mafia             CUF OMARY A KIMBAU
  9. Rufiji Kibiti       CUF ABDALLAH M ISMAIL
MOROGORO                         
  1. Gairo             CDM SALIM YUSUPH MPANDA
  2. Kilosa               CUF ABEID H MLAPAKOLO
  3. Mikumi             CDM JOSEPH HAULE
  4. Morogoro Kusini CDM DAVID LUKAGINGIRA
  5. Morogoro Mashariki CUF SALAMA O AWADH
  6. Kilombero         CDM PETER KIBATALA
  7. Mlimba           CDM SUZAN L. KIWANGA
  8. Mvomero         CDM OSWALD MLAY
  9. Ulanga Magharibi CDM ALPHONCE MBASSA
  10. Ulanga Mashariki CDM PANCRAS KONGOLI
  11. Morogoro Mjini CDM MARCOSSY ALBANIE
DODOMA                               
  1. Kondoa Mjini CUF YASIN S BAKARI
  2. Kondoa Vijijini CUF ALLY B KAMBI
  3. Chemba         CUF ROGATH A MHINDI
  4. Kibakwe         CDM MSAFIRI MZINGA
  5. Mpwapwa       CDM BARAKA
  6. Kongwa           CDM ESAU NGOMBEI
  7. Dodoma Mjini CDM SINGO BENSON KIGAILA
  8. Bahi               CDM MATHIAS LYAMUNDA
  9. Chilonwa         CDM JOHN CHOGONGO
  10. Mtera           CDM CHRISTOPHER NYAMWANJI
SINGIDA                        
  1. Iramba magharibi CDM JESCA KISHOA
  2. Iramba mashariki CDM OSCAR KAPALALE
  3. Singida kaskazini CDM DAVID DJUMBE
  4. Singida Mashariki CDM TUNDU A LISSU
  5. Singida Magharibi CDM MARCO ALLUTE
  6. Manyoni magharibi CDM LUPAA DONALD
  7. Manyoni Mashariki CDM ALLUTE EMMANUEL
  8. Singida Mjini CDM MGANA MSINDAI
TABORA                        
  1. Bukene           CUF DR. GODBLESS MAGULA
  2. Nzega Mjini   CDM CHARLES MABULA
  3. Nzega Vijijini CUF KHAMIS IDD KATUGA
  4. Igunga           CDM NG’WIGULU KUBE
  5. Igalula             CUF MOHAMED S A MERJIBI
  6. Tabora Kaskazini CUF REHEMA H BUSHIRI
  7. Urambo           CDM SAMWELI NTAKAMLENGA
  8. Kaliua             CUF MAGDALEN SAKAYA
  9. Ulyankulu       CDM DEUS NGERERE
  10. Sikonge         CDM HIJJA RAMADHANI
  11. Tabora Mjini CUF PETER S. MKUFYA
  12. Manonga       CDM ALLY KHALFANI NGUZO
KATAVI                          
  1. Mpanda Mjini CDM JONAS KALINDE
  2. Mpanda Vijijini CDM MUSSA MASANJA
  3. Katavi             CDM GEORGE SAMBWE
  4. Nsimbo         CDM GERALD KITABU
  5. Kavuu             CDM LAURENT SENGA
KIGOMA                        
  1. Buyungu         NCCR MATHUSELA A MAWAZO
  2. Mhambwe       NCCR FELIX F MKOSAMALI
  3. Kasulu Mjini NCCR GIDEON B BONIPHACE
  4. Kasulu Vijijini NCCR AGRIPINA Z BUYOGERA
  5. Kigoma Kaskazini CDM DR. YARED FUBUSA
  6. Kigoma Kusini NCCR DAVID Z KAFULILA
  7. Kigoma Mjini CDM         DANIEL LUMENYELA
  8. Manyovu       NCCR MUHANDISI MWOMELA
RUVUMA                                
  1. Tunduru Kaskazini CUF MANJORO D KAMBILI
  2. Peramiho       CDM ELASMO MWINGIRA
  3. Mbinga Magharibi CDM CUTHBERT S. NGWATA
  4. Mbinga Mashariki CDM EDWIN B. AKITANDA
  5. Namtumbo       CUF BONIFASIA A MAPUNDA
  6. Songea Mjini CDM JOSEPH FUIME
  7. Tunduru Kusini CUF SADICK B SONGONI
  8. Madaba           CDM EDSON MBOGORO
  9. Mbinga Mjini NCCR MARIO MILLINGA
MTWARA
  1. Newala Mjini CUF JUMA S MANGUYA
  2. Newala Vijijini CUF JAFAR S MNEKE
  3. Tandahimba   CUF KATANI A KATANI
  4. Mtwara Vijijini CUF RASHID NANDONDE
  5. Nanyamba       CUF HAKUNA MGOMBEA
  6. Mtwara Mjini CUF/NCCR MAFTAHA NACHUMA/HASSANI A ULEDI
  7. Nanyumbu     CUF MAJARIBU H LUPETO
  8. Lulindi             NLD MODESTA PONELA
  9. Masasi           NLD EMMANUEL MAKAIDI
  10. Ndanda         NLD ANGELOUS THOMAS
LINDI                              
  1. Mtama                 CUF ISIHAKA R MCHINJITA
  2. Kilwa Kaskazini CUF VEDASTO E NGOMBALE
  3. Kilwa Kusini   CUF SELEMANI S BUNGALA
  4. Lindi Mjini     CUF SALUM BARWANY
  5. Ruangwa       CUF OMARY I MAKOTA
  6. Nachingwea   CUF JORDAI MEMBE
  7. Liwale             CUF ZUBERI M KUCHAUKA
  8. Mchinga         CUF HAMIDU H BOBALI

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR

$
0
0

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibar Bw. Said Ndubugani, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na mamlaka hiyo katika kuimarisha viwanja vya ndege, alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo mbali mbali ya uwanja wa ndege wa Zanzibar katika ziara yake ya kutembelea eneo hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la abiria katika uwanja wa ndege wa Zanzibar alipotembelea eneo hilo.
 Mratibu wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (terminal 2) katika uwanja wa ndege wa Zanzibar Bw. Yasser De Costa akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya maendeleo ya ujenzi huo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la abiria katika uwanja wa ndege wa Zanzibar alipotembelea eneo hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia baadhi ya bidhaa zinazopatikana ndani ya duka la uwanja wa ndege wa Zanzibar, na kutoa wito wa kuzitangaza bidhaa zinazozalishwa hapa nchini zikiwemo karafuu na vitu vya sanaa. na vitu vya sanaa.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia baadhi ya bidhaa zinazopatikana ndani ya duka la uwanja wa ndege wa Zanzibar, na kutoa wito wa kuzitangaza bidhaa zinazozalishwa hapa nchini zikiwemo karafuu.
 Raia wa Syria Bw. Mark Bachayani (kushoto) akijinasibu kupiga picha na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika ziara ya kutembelea uwanja wa ndege wa Zanzibar.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Bw. Abdallah Juma, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na shirika hilo katika kuimarisha huduma wakati wa ziara yake ya kutembelea eneo hilo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Bw. Abdallah Juma, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na shirika hilo katika kuimarisha huduma wakati wa ziara yake ya kutembelea eneo hilo.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na watendaji wa Shirika la Bandari Zanzibar, wakati akihitimisha ziara yake ya kutembelea eneo hilo. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Deadly Decisions and the Kikwete Succession

$
0
0


I apologize in advance because this post is going to be rather long. It was absolutely necessary because it contains some pretty scary information on how CCM is struggling after the July nominations .In Part 1 of this post I gave you a background as to why the executive was reduced to tribal and indeed family appointments way back during the the first Kikwete  days. It was all a question of survival. I also said that the Kikwete  administration has a lot of similarities to the Jomo Kenyatta administration. However there is one subtle difference that makes the situation even more dangerous in the Kikwete  administration. Those close to the president may be hailing from his old friends   but the difference is that many of them are very well educated and capable individuals. Some are amongst the wealthiest and most powerful like Edaward Lowasssa and Rostam  a. If you compare these fellows to the simple people from the bussness class  who surrounded President  you will realize that Kikwete  men were nothing short of loyal village goons who quickly evaporated with his presidency.
the question now is Powerful man who put Kiwkete to state house want to get to the white house through UKAWA opposition how this will make easy succession ? 


Those around Kikwete  will not just disappear when the president leaves office. They will remain behind in powerful positions and situations to protect him long after he has left. In other words the next president of Bongland  will be faced with the same problem faced by Kikwete when he took over power  only this time the situation is much more deadly and difficult to deal with.How his family interest will be protected and his loyal friends ?

Appointments in security organs in the Kikwete  administration have to be trusted completely. Trusted to have their loyalty only towards the president and NOT the country. What would you do if you were faced with a situation where you have to abandon your loyalty to your country in order to remain loyal to the individual holding the office of the president of the republic?

This is exactly what is happening in the Kikwete  administration. And that is why certain key security positions cannot just be filled by anybody Indeed it is not an accident that finance is as sensitive to Kikwete  as security is.
For a long time now reports that I have been receiving and even signs to the observant point to the fact that the Kikwete administration has been creating secret parallel security organs. in case his party lose power to put country in cares There are numerous happenings since then that suggest that this unit is up and running.  Now my question is why would you need such a unit and yet we have the best intelligence apparatus  which reports directly to the executive?

We also know that the Administration police has grown immensely in stature and power since the Kikwete  administration took over. For many years the security organ was nothing but a handful of semi-illiterate policemen scattered around the country to help chiefs and other provincial administration personnel carry out their duties on the ground. Today the security has grown so much so that the main stream police force feel very threatened by it. Why?

I believe that that same God will save Bongoland once again,
But I thought that you, my dear friends, should have this information.

The Coalition on Election Monitoring and Observation in Tanzania (CEMOT Election watchdogs due to engage public in monitoring

$
0
0
The Coalition on Election Monitoring and Observation in Tanzania (CEMOT) has said it intends to enhance citizen’s participation in the observation and monitoring of the 2015 election processes in order to determine the extent to which the process is credible, free and fair.
 
Denmark is one of the key supporters of CEMOT, speaking to journalists yesterday in Dar es Salaam, Denmark Ambassador to Tanzania, Einar Jensen underscored the value of elections are a very important part of the democratic process.
 
However the diplomat was keen to also emphasize the need to abide by the very basics of democracy like open and fair elections to ensure peace and security.
 
“It is my hope that all eligible Tanzanians will vote and participate in the elections,” the ambassador said.
 
“Everyone has the right to elect his/her leader,” he emphasized.
TACCEO Co-chair, Martina Kabisama said they have prepared a team of observers of not less than 10,000 deployed across the country.
 
“We have established an information decimation centre that will deal with technological issues...it will be responsible for collecting and decimating information and events that happen during the election period from all over the country,’ the co-chair said.
 
“Also apart from the observers, we will be receiving information from the citizen and we shall have specialists observing the whole process,” Kabisama said.
 
“CEMOT will enable citizens to collect information on the elections by visiting our stations in their various locales,” she said.
 
In 2010, the Election Support Project was supported by Canada, Denmark, the European Commission, Finland, the Netherlands, Norway, Sweden, Switzerland, UNDP and the United Kingdom, and was managed under the auspices of the United Nations Development Programme in Tanzania. 
 
It was implemented in partnership with the National Electoral Commission (NEC) and the Zanzibar Electoral Commission.

Chadema Launch Election Campaigns in Tarime Rural

$
0
0
Tarime — The ruling Chama Cha Mapinduzi and the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo have launched their parliamentary campaigns in Tarime Rural constituency with pledges of improving lives of the area's residents.
CCM launched campaigns on Tuesday at Nyarwana village, the home village of its parliamentary candidate, Mr Christopher Ryoba Kangoye.
Chadema also launched campaigns at Sirari area where several speakers, including Ms Esther Bulaya and Ezekiel Wenje, addressed a public rally.
Ms Bulaya, a former CCM Special Seats legislator, is contesting for Bunda Urban constituency on Chadema ticket while Mr Wenje is seeking re-election in Nyamagana constituency in Mwanza Region.
The two parliamentary candidates urged Tarime residents to vote for the Coalition of Four Parties, Ukawa, candidates from local government leaders to the president.
"It's time to make changes starting from the local government level," Ms Bulaya said. Chadema Tarime Rural parliamentary candidate Mr John Heche said if elected he would ensure that Sirari is upgraded into a township bid to speed up socio-economic development in the area.

CCM PROMISE TO BUILD MORE ALCOHOL INDUSTRIES

$
0
0




Samia Suluhu  pledges new wine factory

Ruling CCM presidential running mate Samia Suluhu Hassan addresses a public rally in one of the campaign meetings. PHOTO | FILE

In Summary

According to Ms Hassan, the industry would also improve the economy of Chamwino District and the region at large, which is the leading grapes producer in the country.

By Katare Mbashiru

Dodoma. The CCM presidential running mateMs Samia Suluhu Hassan, yesterday finalised her campaigns in Dodoma Region with a promise to establish a wine factory in Chamwino District if she and ruling party presidential candidate, Dr John Magufuli, will be elected to form the next government.

She said that the new factory would avail employment to residents of Mtera constituency and surrounding areas.

According to Ms Hassan, the industry would also improve the economy of Chamwino District and the region at large, which is the leading grapes producer in the country.

Earlier, the CCM presidential running mate addressed residents in Mpwapwa District before proceeding to another rally in Dodoma Urban constituency on Wednesday evening.

In Mtera constituency, CCM parliamentary candidate Livingstone Lusinde asked the government to also establish a wine processing factory there.

The wine making plant, according to him, would provide market to grapes farmed in his constituency.

Mr Lusinde further took a swipe at former prime ministers Edward Lowassa and Frederick Sumaye over their decision to hop into the opposition camp. “The two think that they can remove CCM from power, but I want to tell them very clearky that they will not manage,” he said.

At another rally in Dodoma Urban, Ms Hassan promised to improve infrastructure, especially roads and generation of enough electricity to end frequent power cuts.

In Kibakwe constituency, CCM parliamentary candidate George Simbachawene called for the need to give priority water projects in the area.


SOURCE: THE CITIZEN


Lowassa aitingisha Kigoma

$
0
0

LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI MKOANI KIGOMA LEO
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akitembelea kuelekea kwenye Helkopta anayoitumia kwa ziara za Kampeni, iliyokuwepo kwenye Uwanja wa Ndege wa Mpanda, alipokuwa akielekea Mkoani Kigoma kuendelea na ziara zake ya Kampeni, leo Septemba 4, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akipokea saluti kutoka kwa Askari Polisi, wakati alipowasili kwa Helkopta, kwenye Uwanja wa Nguruka Kati, Uvinza, Mkoani Kigoma  kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo, leo Septemba 4, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, KIGOMA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akikaribishwa na Mwenyeji wake, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini katika mwamvuli wa Ukawa kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, David Kafulila, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Nguruka Kati, Uvinza, Mkoani Kigoma, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo, leo Septemba 4, 2015.Katikati ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwasalimia wananchi wa Kigoma Kusini, waliokuwa wamefurika kwenye Uwanja wa Nguruka Kati, Uvinza, Mkoani Kigoma  wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika leo Septemba 4, 2015.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe, akiwahutubia wananchi wa Uvinza, leo Septemba 4, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Uvinza, Jimbo la Kigoma Kusini, leo Septemba 4, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnadi kwa wananchi, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini katika mwamvuli wa Ukawa kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, David Kafulila, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Nguruka Kati, leo Septemba 4, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiptia ujumbe maalum ulioandaliwa na Wananfunzi wa Shule ya Msingi Nguruka, Mkoani Kigoma, leo Septemba 4, 2015.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini katika mwamvuli wa Ukawa kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, David Kafulila, akiwahutubia wananchi wa Jimbo lake, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofayika kwenye  Uwanja wa Nguruka Kati, Uvinza, Mkoani Kigoma, leo Septemba 4, 2015.
Baadhi ya wananchi wa Mji wa Kigoma Kusini, wakionyesha furaha yako kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,wakati wa Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Nguruka Kati, Uvinza, Mkoani Kigoma
Baadhi wa wasanii wa wakighani mashairi yao kwa umahiri mkubwa.






Usikivu kwa wananchi wa Uvinza.











Mgombea Ubunge wa CUF Kisarawe aitingisha kisarawe

$
0
0

Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo.i uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Kisarawe mkoa wa Pwani.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar Said Issa Mohamed (kulia) akiteta jambo na mgombea wa jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu”


Mgombea mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa Kisarawe katika mkutano wa kampeni.


Mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni.


Juma Duni Haji akimtambulisha mgombea ubunge wa jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” wakati wa mkutano wa kampenzi uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Kisarawe mkoa wa Pwani.

Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa wilayaya Bagamoyo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Majengo.


Mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu”

Mkutano wa Lowassa Tabora

$
0
0
Baadhi ya wananchi wa Mji wa Nzega, Mkoani Tabora wakimshangilia Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,wakati wa Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi Nzega, leo Septemba 6, 2015 


Mgombea wa Ukawa alieteuliwa kuwania Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Charles Mabula akizungumza na wananchi wake kabla ya kupigiwa kura ya wazi iliyompitisha kuwania nafasi hiyo na kumtupa nje Mwezake wa Chama cha CUF, Mezza Leonard (hayupo pichani), wakati wa Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi Nzega, leo Septemba 6, 2015.Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe 




Mgombea wa Ukawa alieteuliwa kuwania Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Charles Mabula (kulia) akipeana mkono na aliekuwa Mgombea wa nafasi hiyo kwa Jimbo la Nzega mjini, Mezza Leonard (kati) aliyekubali kushindwa baada ya kupigwa kura ya wazi na wananchi wa Nzega Mjini, leo leo Septemba 6, 2015.Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe.


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa mji wa Nzega, wakati akinadi sera zake katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi Nzega, leo Septemba 6, 2015. 


Umati wa wananchi wa Nzega, wakiwa wamekusanyika kwenye Uwanja wa Polisi, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.


Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi Nzega, leo Septemba 6, 2015. 


Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Ole Zanzibar, Mh. Rajab Mbarouk akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi Nzega, leo Septemba 6, 2015.









































Mapungufu ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015

$
0
0
Mapungufu Yaliyomo Kwenye Ilani Ya Uchaguzi Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ya 2015 - 2020 Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya 2015 – 2020, chama kinachotawala na kinachotaka kiendelee kutawala haiongelei chochote juu ya ilani iliyopita, jinsi ilivyopaswa kutekelezwa, wapi ilifanikiwa na wapi haikufanikiwa na haielezei ni kwanini haikufanikiwa na badala yake CCM wanakuja na ilani mpya ya moja kwa moja utadhani ndo wanataka kuingia madarakani kwa mara ya kwanza.

Katika ilani yao CCM wanasema kuwa chini ya utawala wao watanzania wamepata mafanikiao makubwa ya kiuchumi, kisiasa na kijamii, lakini hawajatwambia haya mafanikio ni makubwa kulinganisha na yapi, yaliyopita? Yaliyotarajiwa au inavyopaswa kuwa kwa mtizamo wao?

Katika ilani yao, bado wanaongelea kupunguza tatizo la ajira na hasa kwa vijana. Hapa wameshashindwa kuondoa tatizo hilo kabla ya kuanza kutekeleza ilani yao maana wanaongelea kupunguza badala ya kulimaliza kabisa ili kama ikitokea wakashindwa kulimaliza, basi watalipunguza kwa kiasi kikubwa. Sasa kama lengo ni kupunguza, basi wakishindwa litapungua kwa kiasi kidogo tu. Na wanaongelea kupunguza tatizo hili la ajira kwa vijana pekee na sio rika lingine la Watanzania.


Ilani ya CCM inaongelea juu ya kuwawezesha wafanyabiashara ndogo kupata mikopo nafuu na kuwapatia maeneo ya kudumu ya kufanyia biashara zao. Hapa kwanza ilani ya chama kinachotawala itueleze kwanza ni kwanini imekuwa ikiwafukuza na kuwanyang’anya vitendeakazi pamoja na bidhaa zao hawa wafanyabisahara wadogo katika miji yetu, na nikwanini sasa inafikiri ni wakati wa kuwatambua hawa wafanyabiashara, maeneo mazuri ya kufanyia biashara na kuhakikisha wanapata mikopo nafuu na nikwanini haipangi kuwawezesha hata ikibidi kwa kuwapa ruzuku wafanyabiashara hawa ili wawe wafanyabisahara wakubwa na ikibidi wakatafute masoko nje ya nchi.

Kilimo Kwanza. Ilani ya CCM inasema kuwawezesha wakulima kupata mafunzo ya kilimo cha kisasa, pembejeo, zana za kisasa na wataalamu wa ugani pamoja na mbinu za kuyafikia masoko ya uhakika ya mazao yao. Ilani hiyo haielezei itafanya nini ili kuhakikisha wakulima wanatafuta masoko popote pale na kuuza mazao yao kwa bei ya juu au bei shindani. Ikizingatiwa serikali yake (CCM) imekuwa ikiwazuia wakulima kuuza mazao nje ya nchi kwenye bei kubwa na kuwalazimisha kuuza mazao kwa bei ya chini inayopangwa na serikali na vyama vya ushirika kwa mfano zao la kahawa kule mkoani Kagera lenye bei ya juu nchi jirani kule Uganda au wakulima wa Mahindi wanaozuiwa kuuza Mahindi yao katika nchi zilizotuzunguka.

Pia wakulima wamekuwa wakinyonywa chini ya serikali ya CCM kwa kulazimika kuuza mazao yao kwa kupitia madalali ambao huwanyonya wakulima kwa kutangaza bei ndogo sana huku wakiuza kwa bei ya juu ya kupata faida kubwa kuliko wakulima wanaowekeza nguvu zao kubwa sana. Ilani itueleze ni kwanini imeruhusu unyonywaji huu kwa wakulima na itafanya nini kuuondoa endapo itapewa ridhaa ya kuendelea kuliongoza taifa hili.

Ajira kwa vijana. Ilani ya CCM inasema kuwa mafanikio katika upanuzi wa elimu ya Sekondari na Vyuo yameongeza mahitaji ya ajira ya vijana wasomi kila mwaka ikilinganishwa na nafasi zinazokuwepo. Hapa swali ni je, nafasi zinazokuwepo wapi? Si kila ilani ya uchaguzi huahidi kuzalisha ajira mpya? Pia inaonekana mafanikio iliyoyaleta CCM ya kupanua elimu ya sekondari na vyuo yamekuwa mwiba kwake kwa kuongeza tatizo kubwa la ajira na upanuzi huu wa elimu basi umefanyika ghafra, haukutegemewa ndo maana ukazalisha tatizo la ajira.

Pia hapa CCM inatumia kigezo cha utafiti cha Taasisi ya Takwimu (NBS) kuhusu ajira kinachosema kuwa mtafuta ajira ni Yule mwenye elimu au vyeti anayetafuta ajira na kwahiyo wale watanzania ambao hawajasoma hawapaswi kuajiriwa na wao sio sehemu ya tatizo la ajira kwa serikali iliyoko madarakani.

Rushwa. Ilani ya CCM ya 2015 – 2020 inaonekana kukerwa sana na tatizo la rushwa na kutoa ahadi nzito za kupambana nayo kamailivyo kwa ilani zilizopita lakini haiweki wazi ni kwanini rushwa imeendelea kushamiri na kwanini wamekuwa wakionekana kushughulikia rushwa ndogo ndogo zaidi. Pia ilani haisemi ni kwanini watuhumiwa wa rushwa kubwakubwa huwa wanaonekana kushinda kesi hata wale wanaoshindwa kesi, adhabu zao zinalalamikikwa kuonekana kuwa ndogo kuliko makosa. Je tutegemee kupambana na rushwa kwa dhati hapa?

Ulinzi na usalama. Ilani ya CCM ya 2015 -2020 inahaidi kuwalinda watanzania. Ilani hii haionyeshi kuwa uhasama kati ya walinda usalama na raia wema iko mashakani. Haisemi ni kwa jinsi gani itakomesha vitendo vya askari wetu kuwapiga, kuwamwagia maji yenye kemikali, mabomu ya machozi n.k raia wema wasionasiraha. Tumeona wafanyabiashara ndogondogo, wafuasi wa vyama vya upinzani na wanafunzi hasa wale wa elimu ya juu wanavyopigwa, kutiwa ulemavu na hata kudhalilishwa na walinda usalama.

Pia majambazi na wahalifu wanatamba sana kiasi cha kuzuia vyombo vya usafiri kushindwa kuendelea na safari zao hasa nyakati za usiku. Ilani haionyeshi ni kwa kiasi gani itashughulika nao hawa. Maasikari wetu hawa pia wamekuwa wahanga wa wahalifu, majangili au tuwaite magaidi ambao wameendelea kuwateka, kuwauwa na kuwanyang’anya vitendea kazi vyao. Ilani ya uchaguzi inapaswa kuelezea pasi na shaka ni kwa jinsi gani itashughulikia ushenzi huu na kurudisha heshima ya jeshi letu la polisi na taifa kwa ujumla.

Uchumi

Ilani ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inasimamia kukua kwa uchumi wa taifa umekuwa ni mzuri na wa kuridhisha yaani wa asilimia 7. Hiki nikigezo jumla ambacho hakionyeshi uhalisia wa ukuaji au kutokukua kwa uchumi wetu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa uchumi kama hauendani na maendeleo ya mtu mmoja mmoja basi hauna maana.

Ni kweli kuwa uchumi wetu unakua lakini pia pato au uchumi wa mtu mmoja mmoja limeendelea kuwa dogo na kimsingi mtu mmoja mmoja ameendelea kuwa masikini. Ilani haielezi jambo hili na haionyeshi itafanya nini kushughulikia uchumi wa mtu mmoja mmoja ili kujenga uchumi unaowanufaisha watu wote.

Ilani inasema kuwa itahakikisha deni la taifa linaendelea kuwa stahimilivu bila kutwambia ni sababu gani zilizofanya deni hili kupaa kutoka trillion 10 mwaka 2005 hadi zaidi ya trilioni 35 mwaka 2015 ili tuone kama kweli inaweza kulidhibiti.

Ilani haitoi mwelekeo wowote wa kuonyesha ni kwa jinsi gani itahakikisha inaanzisha na kusaidia biashara za vijana wa kitanzania kukua na kwenda mpaka nje ya mipaka yetu ili kujiingizia vipato, kulipa kodi na kuliingizia taifa letu fedha za kigeni. Pia haitoi maelezo yoyote juu ya nafasi ya Tanzania na jinsi ya kushindana katika masoko ya nje kwa kuanzia na yale ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, SADEC n.k na hivyo kusababisha taifa letu kubakia nyuma katika masoko hayo endapo Watanzania wataipatia tena CCM ridhaa ya kuwaongoza tena miaka mingine mitano.

Pia ilani hiyo haitoi maelezo ya kina juu ya matumizi ya rasilimali yetu kwanza kuhakikisha mapato yanakuwa makubwa zaidi na kutafuta vyanzo vipya vya rasilimali zetu hizi. Wala hawasemi watafanya nini kuhakikisha wafanyabiashara wakubwa wanabanwa ili waaache kukwepa ulipaji kodi kwa kusingizio cha likizo ya kodi (tax holidays) na ni jinsi gani itawasaidia wajasiliamali wadogo kupata misamaha dhidi ya kodi zinazoweza kuwasababishia kushindwa kuendeleza biashara zao.

Ubaguzi katika huduma. Ilani hii ya CCM ya 2015 – 2020 haiongelei chochote kuhusu kuimarisha huduma zote muhimu na kuwahudumia wananchi wote kwa usawa. Kwa mfano huduma ya umeme imekuwa ni ya kusuasua miaka yote na hufikia wakati umeme unapatikana kwa mgawo. Katika mikoa yote, kuna maeneo ya “wakubwa” ambayo ni nadra sana huduma za umeme na maji kutokupatikana mahala pote.

Pia ilani haionyeshi jinsi ya kuondoa ubaguzi wa mchakato wa kupata ajira katika Utumishi wa Umma. Ilianzishwa Sekretariet ya Ajira katika Utumishi wa Umma ambayo utangaza kazi, huendesha usaili na kuita kazini wale waliofanikiwa kupata ajira. Sekretariati hii huwajali zaidi waombaji kazi waishio Dar salaam na mikoa ya jirani kwani saili zake karibia zote huzifanyia Dar es salaam na kwahiyo ili mtu ashiriki mchakato wa kushindana kupata ajira serikalini ni vyema akawa anaishi Dar. Lakini kama mtafuta ajira huyu anaishi mikoa kama ya Kigoma, Kagera au Mara, basi aachane na mchakato huo au awe tayari kulipa gharama za nauli za zaidi ya shilingi milioni moja za usafiri na malazi ili akajaribu bahati yake.

Kuhusu maji, ilani ya CCM inadai kuwa itapunguza tatizo hilo kutoka asilimia 53.4 kwa wakazi wa vijijini hada asilimia 70. Sekta muhimu kama hii ambayo inawezesha kilimo na kuokoa nguvu kazi ya wananchi kutumia muda na nguvu nyingi kufuata tu maji, kwanini isilengwe kumalizwa kabisa kwa asilimia miamoja? Hizo asilimia 70 anabakiziwa nani? Bila kuona haya, ilani inasema kuwa itaendelea kujenga vituo vya kuchotea maji badala ya kuhakikisha maji yanamfikia mwananchi pale alipo. Hapa ndo kuna aibu ya kuona viongozi wetu kama vile Rais, waziri na viongozi waandamizi wanazindua miradi ya maji kwa kuwatwisha ndoo wakinamama katika karne hii.

Wakati magonjwa ya mulipuko yakiendelea kutuumiza na kuondoa maisha, ilani ya CCM inasema kuwa itaongeza kasi ya ujenzi wa miundombinu ya maji taka na sio kusimamia na kuhakikisha serikali yake (kama itapata ridhaa) inamalizia kabisa miundombinu hiyo haraka sana iwezekanavyo ili kuepusha wananchi na magojwa ya mulipuko, harufu mbaya na kupendezesha miji yetu.

Hayo ndiyo mapungufu makubwa ambayo wagombea wa CCM wanapaswa kuyatolea ufafanuzi kwa wapiga kura, waseme kama waliyasahau au si vipaumbele au yatatekelezwa bila kulazimikwa kuandikwa katika ilani yao hiyo

Kamala J Lutatinisibwa.
0754771601
jlkamala@gmail.com

Behind the dehumanization of African asylum seekers

$
0
0
Asylum quests have become toxic issues in just about every affluent country. Even saving lives along the Mediterranean worries some as a lure that will encourage and facilitate more migrant arrivals.

An empathetic story in the NY Times by Suzanne Daley titled “Refugee Crisis on the Beach in Greece” drew a mere 10 comments as compared to 173 comments reacting to Ross Douthat’s opinion piece. Douthat’s sensationalized framing of the issue as "Africa’s Scramble for Europe" only serves to induce fear of refugees. It really is farfetched to draw parallels between the European scramble for Africa and the current desperate effort by poor Africans fleeing to the shores of Europe. Most refugees arriving in Europe, far from scrambling for European resources as Europeans did in conquering Africa will, if successful, be engaged in hard work most Europeans would not want to do such as cleaning toilets, performing arduous farm labor, the service industry and taking care of the elderly. What is more, in reality only a small fraction of asylum seekers is knocking on the gates of Europe with 86% languishing in camps in poor neighboring states.

Kenneth Roth, executive director of Human Rights Watch during an interview with Amy Goodman on Democracy Now said: “And yes, 310,000, 320,000 people [in Europe] are a lot of people. But Europe’s population as a whole is about 500 million. So what we’re talking about, the number of people who have come this year is less than 0.1 percent of Europe’s population.” So, is this a real crisis or a fabricated one because the asylum seekers are of a darker complexion?

An Op-Ed article by Goodwell Nzou, a Zimbabwean PhD student titled “In Zimbabwe, We Don’t Cry for Lions” evoked 1,257 passionate comments about the late Cecil, the lion. Nzou quipped “we Zimbabweans are left shaking our heads, wondering why Americans care more about African animals than about African people.”

Personally, I grieve for lions, elephants, rhinos and all the wonderful endangered animals in Africa just as I do for the humans drowning in the Mediterranean. I, however, do understand where Nzou is coming from. Reading through the comments in the NY Times about asylum seekers, I am distressed by the bigotry and total lack of understanding for the plight of refugees. Cecil galvanized a global movement and empathy. In contrast, refugees seem to elicit contempt! It is a paradox to witness a pairing of love for animals with disdain for humans as if the two are mutually exclusive.

The responses are mostly intended to perpetuate a “Fortress Europe” mentality, ranging from threatening military action against traffickers, outsourcing of asylum seekers to poorer countries in exchange for money, to building walls and fences, surveillance, border protection, indifference to life saving measures in the Mediterranean by scraping the Italian rescue operation Mare Nostrum, and warehousing refugees in detention centers.

What is yet to enter the public discourse is Western complicity for the circumstances that generate refugees. The contributions of the U.S.-British "Mission Accomplished" in Iraq and the U.S.-British-French "Mission Accomplished" in Libya to the refugee exodus is rarely acknowledged. Moreover, there is little discussion regarding the obligations of European countries to their former colonial empires. Does Europe owe Africa anything for inflicting structural damage through exploitive practices, and the legacy of drawing arbitrary borders resulting in chronic conflicts and stolen riches? The typical Western response to this is that it is all “in the past”, and that this generation of Europeans cannot be held responsible. Get over it. Clearly, the West has failed to put structures in place for justice and is guilty of glossing over the events that shaped the reality of post-colonial states, further widening the gap between the developed and developing worlds.

Another theme within the comments, including Douthat’s opinion piece, is that population growth drives asylum seekers to make these dangerous journeys. The solution presented is to help Africans with family planning. This solution and the perceptions that surround it is simplistic, at best. It is an excuse to curb the flow of refugees and asylum seekers to affluent countries that would appeal politically to some people who oppose asylum seekers but who don't want to be accused of racism or xenophobia.

Arguing that underdevelopment contributes to persecution, war and refugees is a stronger argument. However, how underdevelopment occurred would be a necessary inquiry for it would reveal the lopsided and unfavorable terms of trade and wholesale historical injustices perpetrated by European colonialism and slavery.

In his seminal book, How Europe Underdeveloped Africa, Walter Rodney argues that both European power politics and European economic exploitation and oppression led to the impoverishment of African societies. In the contemporary era, war, civil strife in conjunction with political persecution (in Syria, Iraq, Eritrea, Sudan and South Sudan), aggravated by the involvement of Western powers, is causing untold loss of life as well as economic dislocation. One would think that the affluent world has a moral responsibility to accept people as they flee violence. Nevertheless there are usually no more than occasional references to this obvious and glaring truth and moral exigencies.

The refugee exodus is the result of many factors, one of the most common being war or fear of war. Overpopulation, while it may be a contributing factor, is not the main cause. Billions of poor people prefer to stay put in their homes and familiar surroundings unless threatened by war or persecution. In addition, a conversation about population growth that ignores unequal patterns of consumption and its effects is disingenuous: “the poorest three billion people on earth, short of half the world population accounted for about 7% of carbon emissions, while conversely, the richest 7% of people accounted for about half of all emissions.”

Language is another potent weapon used to demonize asylum seekers and to frame the issue. Refugees are being described with words laden in negative meanings akin to propaganda – for manipulation of public opinion. Refugees are abused and ridiculed in ways that African American slaves were labeled as “chattels,” “property,” and “beasts” and Native Americans were labeled with dehumanizing language defining them as "non-persons,""savages," and "Satan's partisans."

Politicians make misleading generalizations for electoral gains while neglecting the main factor that triggers displacement and movement of people: war. British Foreign Minister Philip Hammond refers to asylum seekers in Calais in terms of “marauding,” whose presence will undermine the British “standard of living.” David Camren described asylum seekers as “swarms.” An Israeli Member of the Knesset Miri Regev, referred to asylum-seekers as “a cancer in our body,” and former Minister of Interior Eli Yishai, labeled asylum-seekers as “infiltrators,” “criminals,” and a “demographic threat.” Such incitement has led to a significant increase in hate crimes against Africans in Israel.

However, it is simplistic to think this is just about race. Of course, race is the underlying factor with concerns about assimilation and integration of refugees. But asylum seekers and migrants have not fared better, even in black ruled and relatively prosperous South Africa. South African mobs have doused other Africans with gasoline and burned them alive. South Africa's President Jacob Zuma’s son, Edward, an African twin of Donald Trump, described foreigners [i.e., African migrants] as drug dealers and a “security threat” who must be deported. According to a SAMP survey, this entrenched view is "held by 55 percent of South Africans." To be sure, South Africa maybe ANC ruled but economic power is still firmly in the hands of the white minority. The country has very high black unemployment and economic inequality which pits refugees and asylum-seekers against black South Africans.

There is also the attempt to dismiss African refugees as mere migrants looking for economic opportunities. Somini Sengupta of the NY Times writes about how migrants are legally different from refugees. However the vast majority of those crossing the Mediterranean are clearly refugees even by the definition of the 1951 UN convention. According to a UNHCR report, they are fleeing war, persecution and deteriorating conditions in countries hosting refugees. One can also make a case that even the so called migrants are also refugees. While acknowledging that there are people who leave their homes for economic opportunities and to better themselves, the distinction between migrants and refugees is often quite arbitrary and made to suit those trying to justify exclusionary policies.

In retrospect, the 1951 UN convention on refugees is mostly ignored when it comes to Africans and more recently Middle Easterners. When the convention was created, it is safe to conclude potential refugees from Africa were hardly even considered. The world then was a different kind of place with only two African countries as independent states. The rest were colonies. The convention was designed for European victims of Nazi Germany and for defectors from the Soviet bloc. Clearly, the goal behind the dehumanization of African and Middle Eastern asylum seekers is to deny them the right to invoke the 1951 convention. 

Gwajima amjibu Slaa, amuonya asitumike na usalama wa taifa

$
0
0

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, JosephatASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema Dk. Willibrod Slaa ametekwa na mke wake Josephine Mushumbusi na haiwezekani kumtoa. Gwajima amesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wandishi wa habari katika Ukumbi wa Landmark Hotel, Ubungo akijibu tuhuma zilizotolewa na Dk. Slaa Septemba 1 mwaka huu.
Katika mkutano wake na waandishi wa habari Dk. Slaa alimshambulia Gwajima kwamba, ndiye aliyekuwa mshenga na aliyefanya kazi kubwa ya kumuunganisha mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa na viongozi wakuu wa chama hicho.
Dk. Slaa alienda mbali zaidi kwa kusema, mshenga huyo (Gwajima) amabye ni rafiki wa karibu na Lowassa alimfuata na kumwambia “maaskofu 30 kati ya 34 wamehongwa ili kumkubali Lowassa,” na kuongeza;
“Aliona ni sifa kwa viongozi wa dini tena maaskofu kuhongwa. Kama ni kweli maaskofu hao watubu.”
Akijibu tuhuma hizo Gwajima amekiri kuwa na urafiki wa karibu na Lowassa kabla na baada ya kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM).





Hata hivyo amesema Dk. Slaa pamoja na kumshambulia Lowassa lakini ameondoka Chadema kutokana na shinikizo lililofanywa na mkewe Mushumbusi ambaye ‘ndiye anayemtawala.’
“Nimeamua kuitisha mkutano huu kwa makusudi ili kujibu tuhuma nzito alizitoa Slaa juu ya wachungaji maana tukikaa kimya ni hatari kwa waumini wetu kwa kuwa kitendo alichofanya ni cha uchonganishi kwa waumini wetu” amesema na kuongeza;
“Slaa ni muongo na hakuna ukweli wa alichokisema. Slaa ni rafiki yangu lakini amenikosea sana kwa sasa sio rafiki tena bali ni rafiki mkosefu.”
Gwajima amesema Dk. Slaa hakukosea kumwita mshenga na kwamba, limemsaidia vitu vingi ikiwemo kumuunganisha yeye na Lowassa pamoja na kumtafutia walinzi na mpishi nyumbani kwake.
“Kweli mimi ni mshenga maana namjua vizuri sana Slaa kuanzia nyendo zake, chumbani kwake hadi jikoni kwake maana mshenga hutumiwa na mtu asiyejua kitu,” amesema.
“Mimi ni kweli ndiye nilieshiriki kumleta Lowassa ndani ya Chadema tena baada ya yeye kuniomba niwaunganishe naye. Slaa alishiriki vikao vyote hadi dakika za mwisho hadi tarehe 26 mwezi wa saba mwaka huu ambapo Chadema ilimkaribisha rasmi Lowassa na yeye akiwepo”.
Amesema, Slaa alishiriki katika shughuli zote za kumpokea Lowassa Chadema lakini hali ilibadilika baada ya kurudi nyumbani kwake ambapo alikumbana na matatizo makubwa kutoka kwa mke wake ndipo alianza kubadili msimamo wake.


Akielezea hali ilivyokuwa nyumbani kwa Slaa Julai 26 mwaka huu mlinzi wa Slaa aliyetambulika kwa jina moja la Kornel amesema, saa 6:30 baada ya kurudi nyumbani katibu huyo alikumbana na vurugu za Mushumbusi na kusababisha alale ndani ya gari.
“Baba (Slaa) aliporudi alikuta mlango umeshafungwa na tulipojaribu kugomga mlango haukufunguliwa, baada ya kulazimisha ndipo alipofungua huku akiwa na begi la nguo mkononi na kuanza kumfukuza huku akimwambia rudi ulikotoka,” na kuongeza;
“Baada ya mimi kumbembeleza kwa muda mrefu ilipofika saa 7 usiku ndipo aliamua kumfungulia mlango lakini ilikuwa kwa shariti la kutorudi Chadema na kuwa endapo Lowassa atapokelewa basi yeye ajiuzulu.”
Hata hivyo, Gwajima amesema, baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa walinzi, aliamua kukutana na mke wa Slaa na kuzungumza naye kwa lengo la kumwacha aendelee na kazi za ukatibu mkuu.
“Mimi nilishajiandaa kuwa first lady na nilishaandaa biashara zangu huko nje za nchi hivyo siwezi kubadili msimamo wangu.
“Mke wake Slaa ana viashiria vyote vya matendo ya kishetani. Ni dhahiri kuwa yawezekana Slaa anayofanya yote sio akili zake, anamuendesha vibaya. Sasa kwa mfano angeteuliwa kuingia Ikulu, ingekuwaje nchi hii?” amehoji Gwajima.


Wakati Dk Slaa anatangaza kustaafu siasa Septemba Mosi, alimwita kiongozi huyo wa Kiroho kuwa ni mshenga wa Edward Lowassa kwa Chadema na kusema kuwa askofu huyo alimwambia kuwa wapo maaskofu 30 wa Katoliki wamehongwa na Edward Lowassa.
Licha ya kukanusha tuhuma hizo, Akofu Gwajima amesema kuwa kuna watu wanawatumia Dk Slaa na mchumba wake, Josephine, na kuwaonya waache kutumika.
Pia Askofu Gwajima ametoa tuhuma kwa Usalama wa Taifa kuwa wanatumika pamoja na Dk Slaa.
“Mimi najua wapo Usalama wa Taifa ambao wanamlinda Dk Slaa lakini nawaomba sana Usalama wa Taifa walinde nchi ikae kwa amani, wasijiingize kwenye siasa au kulinda kikundi flani’’ alisisitiza Gwajima.
Aidha askofu huyo amesema kuwa kama Dk Slaa atajitokeza kumjibu kwenye vyombo vya habari, na yeye atajitokeza kuelezea mambo aliyoyafanya Dk Slaa Afrika ya Kusini akiwa na vijana wa Usalama wa Taifa siku chache kabla ya kutangaza kuachana na siasa.
Kiongozi huyo wa Kiroho amewataka wananchi waangalie ni mtu yupi anayefaa na wasije wakagawanywa na harakati zinazoendelea.

Mass migration deaths caused by imperialist foreign policy ?

$
0
0
src.adapt.960.high.map-routes-mediterranean-compass.1431040149727[1]As migrants and refugees continue to die in their efforts to escape from war or simply to better their lives, and as the EU struggles to cope with the continued influx, what can be done to rectify the situation? Should the focus be on the traffickers who are getting rich off people’s misery or the European countries that are struggling with their own crises?
There was yet another gruesome discovery of more than 70 dead migrants in Austria, on a highway between Budapest and Vienna where thousands are seeking refuge. These deaths compounded approximately 100 others who died after their vessel capsized en route to Europe.

Inside the truck in Austria people had apparently suffocated while being illegally transported from the Mediterranean into southern and Eastern Europe.

Austrian governmental officials announced on August 28 that 71 refugees, including an infant girl, were found dead in what appeared to be an abandoned freezer truck. During the same day Libyan naval units recovered the bodies of 105 migrants who were washed ashore apparently after an overcrowded boat capsized in the Mediterranean Sea on its way to Europe.


LampedusaAfricanMigrantsLandMay15These deaths are occurring because of an upsurge in migrants running away from war and poverty that has been initiated by United States and European Union foreign policies. United Nations officials and other international agencies concerned with migration have reported since last year that the number of internally displaced persons and refugees is higher today than any period since the conclusion of World War II.

The International Organization for Migration has revealed that more than 330,000 people have crossed the Mediterranean so far this year. Consequently, the number of deaths is in the thousands and there is no reason to believe that more of these tragedies will not occur in the short term.

IMPACT OF IMPERIALIST WARS SPAN SEVERAL CONTINENTS

These recent mass deaths are by no means isolated incidents. A pattern of dislocation has been rising steadily since the wars of regime change in Afghanistan, Iraq, Somalia, Syria, Libya and Nigeria from 2001 until the present.

Also the growing class divisions and economic difficulties in other Asian and African states are creating tensions that foster migration. Some of the states that are impacted by this global crisis include Morocco in North Africa, Nigeria in West Africa and Bangladesh in South Asia.

When the US and its NATO allies went to war against the Taliban government in Afghanistan they claimed that it was designed to end ‘terrorism’ and ensure stability in Central Asia.

However, some fourteen years later hundreds of thousands of people have lost their lives in both Afghanistan and Pakistan with many more leaving the country as a result of the ongoing fighting between forces in support and in opposition to the Washington-imposed regime in Kabul.

Going back over 35 years, the US waged a war against the socialist-oriented government in Afghanistan that was supported by the then Soviet Union. Washington funded trained and coordinated Islamic fighters, which led to the formation of al-Qaeda and the eventual ascendancy of the Taliban between the late 1970s up until the 1990s.

In Iraq, beginning with the military build-up and invasion during 2002-2003, some estimates claim that over one million people have died. War still rages between the Islamic State of Iraq and Syria (ISIS) and the Iraqi government in Baghdad causing a new wave of outmigration.

Both Syria and Libya were targeted for regime-change in 2011 through the support of pro-Western groups, militias and massive bombing campaigns. Over four million Syrians have left the country many of whom are now seeking refuge in Europe.

The situation in the Horn of Africa is largely the result of successive US administrations meddling in the affairs of the region. Somalia has been a major source for Pentagon and Central Intelligence Agency (CIA) interventions since the late 1970s when the administration of Jimmy Carter won over the regime of Mohamed Siad Barre and encouraged it to invade Ethiopia, which was undergoing a socialist revolution supported by the Soviet Union and Cuba.

Coinciding with the weakening of the USSR, the regime of Mikhail Gorbachev halted support for the Ethiopian government of Mengistu Haile Miriam. After the overthrow of the Workers Party state in Addis Ababa in 1991, the US the following year invaded and occupied Somalia under the guise of a humanitarian mission.

Somalians rose up against the occupation in 1993 prompting a withdrawal by the Pentagon and the United Nations peacekeeping forces. Nonetheless, Washington would continue to seek domination of Somalia through an invasion by the current Western-oriented regime in Ethiopia in 2006 and the formation of a regional African Union Mission to Somalia (AMISOM) 22,000-member military force now operating inside the country.

All of these geo-political regions have their nationals being lured by human traffickers across borders in Asia, the Middle East and Africa with the promise of prosperity in Europe. However, Europe itself has serious economic crisis particularly in southern states such as Greece.

EU DIVIDED OVER MIGRANT CRISIS

These deaths of migrants totaling nearly 3,000 this year, poses a problem for the EU due to the financial instability inside the imperialist states. Many migrants have entered Greece where the most serious economic downturn has taken place leaving millions in poverty and uncertainty stemming from the US as well as Northern and Western European capitalist states’ terms of loan repayments and imposed economic conditionalities.

Italy has experienced a large wave of migration in recent months. The International Organization for Migration (IOM) says that over 65 percent of the people seeking entry into Europe this year have crossed over into Greece and Italy. (Reuters, August 28)

The International Business Times reported on August 30, that recent migrants are being trafficked heavily through the Balkans.

An article from this publication says, ‘Investigations will likely focus on the Balkans region, which has now reportedly become the primary route for people-smuggling gangs transporting migrants and refugees from the Middle East, Africa and Central Asia into Western Europe. Between January and July this year, 102,342 people crossed into Austria via the western Balkans, more than 10,000 higher than the total that entered Europe via the so-called Central Mediterranean route, according to data from Frontex, the EU border control agency.’

In a recent Washington Post analysis of the crisis written by Anthony Failoa and Michael Birnbaum, they acknowledge the criticism of the EU system for its failure to develop a sound and rational immigration policy. Earlier in June, the regional organisation sought to handle the burgeoning migration into Europe through military means by halting, boarding and returning vessels where migrants were being transported.

The Washington Post authors say, ‘Perhaps nowhere is that more true than in Hungary, the nation the perished migrants were smuggled through. This former Soviet bloc country, now led by right-wing nationalists, is fast emerging as the toughest obstacle for a record number of refugees trying to reach Europe from war-torn Syria, Iraq and other nations.’ (August 31)

This same report continues noting that ‘Hungary is building a 109-mile-long razor-wire fence on its southern border meant to keep out migrants. But as they come ashore in Greece, then try to reach the wealthy core of Europe – nations such as Germany, Sweden and Austria – the asylum-seekers’ path to sanctuary runs straight through Hungary.’

Although Germany is portraying a more humane posture related to the latest migrant crisis they are not burdened with the same problems as the lesser-developed states on the continent. The EU states have failed to agree on a uniform policy of quotas and methods of processing migrants.

‘The problem is that the European system is dysfunctional, and when a system is dysfunctional, refugees are going to put themselves in danger,’ according to Babar Baloch, the spokesman for UN High Commission for Refugees in Budapest. ‘Especially in Hungary, they are being pushed to take risks because they have no other legal way.’ (Washington Post, August 31)


Mada Moto ya Uchaguzi

Viewing all 1039 articles
Browse latest View live