Quantcast
Channel: DIRA YETU
Viewing all 1039 articles
Browse latest View live

Wazanzibari wanapoikana sheria ya Mitandao

$
0
0
Kifungu ulichokirejea ambacho ni 132 cha Katiba ya Zanzibar 1984 kinasema:


132(1) Hakuna sheria yoyote itakayopitishwa na Bunge la Muungano ambayo itatumika Zanzibar mpaka sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya Muungano na ipitishwe kulingana na maelekezo ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

(2) Sheria kama hiyo lazima ipelekwe mbele ya Baraza la Wawakilishi na Waziri anaehusika"


Utaona hapo masharti ya kikatiba ili sheria hii (au nyengineyo yoyote iliyopitishwa na Bunge la Muungano) itumike Zanzibar ni matatu:

1)Iwe ni kwa jambo la Muungano.

2)Ipitishwe kulingana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

3)Iwasilishwe Baraza la Wawakilishi.


Swali la kujiuliza : Mambo ya Mtandao wa Mawasiliano ya Intaneti ni jambo la Muungano? Katiba ya JMT Nyongeza ya Kwanza imetaja orodha ya mambo 22 kuwa ni Mambo ya Muungano. Lakini Mawasiliano ya Intaneti halimo. Ingawaje kipengele cha orodha cha 11 yanatajwa mambo ya " Bandari, mambo yanayohusiana na usafiri wa anga , posta na simu"

Jee ukisema SIMU unamaanisha pia Mawasiliano ya intanet?

Katika Katiba Inayopendekezwa , nadhani kwa kuona kasoro hii , imewekwa wazi kuwa "Mawasiliano " ni jambo la Muungano.

Maoni yangu ni kuwa SIMU haijumuishi mawasiliano ya  INTANETI na kwa  vile Cybercrime Law inahusu intanet tu , na kwa vile hilo si jambo la Muungano sheria hio haiwezi kutumika Zanzibar kikatiba. Ama kimabavu uwanja uko wazi.

MAONI: Kuwepo kwa Sheria ya Mitandao katika nchi yoyote ile kwa madhumuni ya kulinda amani na utulivu wa nchi, ikiwa ni pamoja na kuhifadhi silka, mila na tamaduni za nchi, ni jambo zuri sana.

Lakini, tatizo linakuja pale ambapo Sheria hii imepelekwa bungeni kwa Hati ya Dharura, na kwa hivyo, wadau mbali mbali hawakupata fursa ya kuijadili kwa kina. Na hata kule bungeni wabunge wa vyama vya upinzani walikuwa wamesusia vikao; na wengi kati ya wabunge kutoka chama tawala hawakuwepo bungeni kwa vile walikuwa wanazuru majimbo yao. Yote haya yanaifanya kupitishwa kwa sheria hii na kusainiwa na rais haraka haraka kunaleta suitafahamu na mfadhaiko wa aina fulani.

Na kwa upande wa Zanzibar, kwa vile sheria hii haijafikishwa katika Baraza la Wawakilishi kwa mujibu wa Ibara ya 238 ya Katiba ya Zanzibar kwa madhumuni ya kuliridhisha Baraza kuwa sheria hiyo imefuata mashart ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano kuhusu upitishwaji wa sheria za Muungano zinazopaswa kutumika katika pande zote mbili za Muungano, nafikiri mapungufu haya yanaifanya sheria hiyo isiweze kutekelezwa Zanzibar kikatiba na kisheria; isipokuwa tu labda serikali itaamua kuitekeleza kimabavu tu. Inafaa ikumbukwe hapa kuwa Baraza la Wawakilishi lilikuwa limeshafungwa na Rais wa Zanzibar wakati sheria hiyo inapitishwa bungeni.




Maalim Seif azindua Kampeni za Urais Zanzibar

$
0
0



Maalim Seif akimsikiliza Mheshimwia Lowassa









Uamti uliofika kumsikiliza Maalim Seif


Mansour Yussuf Himid akiwahutubia wananchi kwenye uzinduzi wa kampeni za wagombea Urais

New Election history

$
0
0

Former Tanzanian Prime Minister and main opposition presidential candidate Edward Lowassa. Photo by TZA One and released under Creative Commons.
Former Tanzanian Prime Minister and main opposition presidential candidate Edward Lowassa. Photo by TZA One and released under Creative Commons.
Tanzania's October 25 General Election will be the most tightly contested election in the country's history after hugely popular former Prime Minister, Edward Lowassa, defected from the ruling party to join the main opposition bloc.
Lowassa defected in late July after he was eliminated from the list of presidential aspirants for the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM). He announced his intention to run for the opposition bloc Chama Cha Demokrasia and Maendeleo (Chadema) shortly after.
Lowassa claims that he unfairly lost his bid to become the ruling party's candidate. He now represents a union of four political parties fighting for the adoption of a new constitution.
Given that Lowassa commands huge support, especially from young people, this is the first time during the history of multiparty politics that the country's opposition has a genuine chance of winning.
After Lowassa’s defection, a number of key members of the ruling party including Members of Parliament, councilors and regional officials followed him to Chadema.
His switchover has ruffled feathers, however.
Until recently, Chadema considered Lowassa corrupt and unprincipled. Chadema led calls for him to go when he was implicated in a corruption scandal that culminated in his resignation in 2009.
He has constantly denied that his office was involved in accepting kickbacks for a major energy contract from American company Richmond Development.
Some members of Chadema have left the party in protest.
But Chadema's chances may be boosted by the appearance of Juma Duni Haji as Lowassa's running mate.
Haji, who has run on opposition tickets in Tanzanian presidential elections in the past, was Minister of Infrastructure and Communications until Lowassa defected.

‘Liberation time is now’

Lowassa’s popularity was clearly noted when his nomination was endorsed by 1.5 million people.

Lowassa alivyoitingisha Dodoma

$
0
0

Lowassa katika ubora wake Dodoma

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akinadi sera zake kwa umati wa wakazi wa Mji wa Dodoma waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Barafu, Mjini humo leo Septemba 11, 2015, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, DODOMA
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnadi Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Benson Kigaila, wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Barafu, Mjini Dodoma leo Septemba 11, 2015.

Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye, akiwahutubia wananchi wa mji wa Dodoma waliofurika kwa wingi wao kwenye Uwanja wa Barafu mjini humo, kwa ajili ya kusikiliza sera za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.

Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwaga cheche zake katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama hicho, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Barafu, Mjini Dodoma.
Shangwe za nguvu wakati Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ikiwasili uwanjani hapo.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, alieambatana na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye, wakiwasili kwenye Uwanja wa Barafu, Mjini Dodoma.

Why the Mbabazi versus Museveni contest matters in Ugandan politics

$
0
0
While uncertainty remains over the outcome of Uganda’s next presidential election in February 2016, this much is clear: The winner will be male, from the west of the country, and with a history of serving in the National Resistance Movement that has ruled the country since January 1986.Each of those attributes is a story in itself, but some more significant than others.In each of the past two elections, in 2006 and 2011, a female candidate appeared on the ballot but it was a symbolic tap on the glass ceiling.
Similarly, there have been candidates from other parts of the country in every election since 1996 but, as Kalundi Serumaga, a journalist and political commentator, argues, the preponderance of people from western Uganda in the top echelons of the NRA rebel army and its political wing, NRM, was always going to tilt representation in favour of that part of the country.Perhaps most notable is the chain of legacy that ties four men to NRM, what it says about the nature of the political contest, and the peculiar motivations of the latest entrant to the race.
The four men are: President Yoweri Museveni; Dr Kizza Besigye; Maj-Gen (rtd) Mugisha Muntu who was once army commander; and former premier Amama Mbabazi.That all four leading candidates come from within the NRM was, in many ways, always going to be inevitable. When the NRA took power in 1986, it had expansive military might sitting atop a narrow political base.It thus set up a “broad-based” government in which political actors and constituencies that hadn’t taken part in the war, in particular the Democratic Party (DP), were included in what was meant to be a transitional government.
The handshake soon extended beyond the elbow and, in the absence of a formal power-sharing plan, DP and other “outside forces” brought into the government were soon swallowed into an umbrella no-party (in reality single-party) political arrangement.In this arrangement, everyone belonged to the “Movement” as the NRM was interchangeably known, but power was tightly held by a small section of “historicals,” in particular those who had contributed to the war effort.Politically dissuaded (from 1986) and then legally banned (from 1992) from organising any activities necessary to recruit members and support, the old political parties atrophied and slowly sank into oblivion.
For instance, while DP’s Paul Kawanga Ssemogerere won 22.3 per cent of the vote in 1996 soon after he resigned from the “broad-based” government, under Norbert Mao DP only got 1.86 per cent in 2011.
In addition to gobbling up opposition parties and banning their activities, the NRM had, over time, successfully undermined the growth of political institutions by, on the one hand, advocating selection of electoral candidates on the basis of “individual merit”, while, on the other hand, fusing itself with the organs of the state and making it difficult, if not impossible, for anyone to challenge its grip on the state, or within it, its leader on the party.
Uganda has become more peaceful, stable and prosperous over the past 30 years and although the political space has been expanded over the past decade, the NRM retains its symbiotic grip on the state, and President Museveni on the party.
This has led many to describe Uganda as a “hybrid” regime that is neither fully despotic nor fully democratic. This, according to the book, Elections in a Hybrid Regime: Revisiting the 2011 Uganda Polls, “is made up of paradoxes and tensions between adopting democratic reforms to legitimise its rule both internally and externally while restricting them to ‘manageable’ ones, thus opening the political scene and allowing competition, while ensuring, through more subtle forms of political control, the survival of the regime”.
ike Besigye before him
Mbabazi’s challenge against Museveni is, therefore, not dissimilar to that of Besigye a decade and a half ago, or that of Ssemogerere and others 20 years earlier.To see this, it is necessary to look back at the way the NRM responded to Ssemogerere and Besigye’s political challenges, and how it is responding to the latest challenge by Mbabazi.In a paper, “Understanding the Paradoxes of Opening Political Space in Uganda” in 2005, as the country prepared to return to multiparty politics (in exchange, as it turned out, for scrapping presidential term limits), Prof Joe Oloka-Onyango noted that attempts to challenge the single-party “conscription” of Ugandans into the Movement had “been met with legal chicanery, criminal sanction, and sometimes, brute force.”
The NRM, he added, “while initially fostering considerable grassroots political participation and expression, has grown increasingly more intolerant even to its own adherents”, describing its transformation as “liberalisation without liberation”.
Mbabazi has sought to clarify some of his views: He says he still doesn’t believe in term limits but acknowledges they are a useful limit on the power of incumbency and would support their reinstatement; the POMA, which the police used to block his rallies earlier this month, is a good law being misapplied by a partisan police force, he says.The verdict of believability will lie in the hands of voters, depending on if and how Mbabazi gets to face them. For now, Mbabazi faces three challenges.
The first is to convince apathetic and older elites that he would be significantly different from and better than his erstwhile ally, Museveni, for them to come out and rally around a change agenda.

The second is to convince the younger and majority demographic, most of whom have known only Museveni all their lives, that there is a need for a peaceful transition and that he is, at 66, the man for the job.
“Mbabazi is being honest when he says he is a transitional leader,” says Serumaga, “only that he isn’t saying what he is trying to save, and for whom.”
He is no transitional leader, counters the pro-NRM lawyer. “He is in the same generation, physically and intellectually, as the Museveni he is trying to replace.”
In fact, pro-Museveni officials in NRM say the president is already preparing the country for a political transition. They point to the appointment of younger Cabinet ministers and officials in government agencies as evidence.

Article 3

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Chama Cha Wananchi (CUF) kinalaani vikali na kwa nguvu zote kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuvuruga mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad uliokuwa ukifanyika jana tarehe 11 Septemba, 2015 kwenye Viwanja vya KwaBinti Amrani, jimbo la Mpendae, Wilaya ya Mjini Unguja.
Kwa makusudi kabisa, wakati mkutano wa kampeni unaendelea na Mgombea Urais, Maalim Seif, akiwa kwenye jukwaa anahutubia, vijana wa CCM walipita kwenye mkutano huo wakiwa na gari la matangazo lenye namba Z 458 GC ambalo lilikuwa linapiga muziki kwa sauti ya juu na kusababisha kuingiliana sauti na hotuba ya mgombea. Kitendo hicho cha uchokozi wa makusudi kilizua tafrani kubwa miongoni mwa wananchi waliokuja kuhudhuria na kusikiliza mkutano huo. Kutokana na hekima na busara kubwa alizo nazo Maalim Seif aliamua kukatisha hotuba yake na kuteremka juu ya jukwaa na hivyo kuuvunja mkutano huo kabla ya muda wake. Busara na hekima za Maalim Seif ziliepusha shari iliyokuwa ikitafutwa na CCM kwa makusudi.
CUF tumesikitishwa zaidi na hatua ya Polisi wakitumia gari mbili za defenders kuipatia ulinzi mbele na nyuma ya gari hiyo ya matangazo ya CCM wakati inafanya uchokozi huo wa makusudi. Hatukutegemea kitendo hicho kufanywa na Polisi. Tulitegemea Polisi ambao ndiyo wenye dhamana ya kusimamia amani na utulivu kwenye maeneo ya mikutano ya kampeni kuwazuia vijana hao wa CCM na gari yao wasipite eneo lile. Badala yake Polisi ndiyo waliowapa ulinzi vijana hao wa CCM kuendesha hujuma na uchokozi wao.
Baada ya tukio hilo, Mjumbe wa Timu ya Kampeni ya CUF, Ismail Jussa, aliwasiliana kwa njia ya simu na Kamishna wa Polisi Zanzibar na kumueleza juu ya tukio hilo.
CUF tunasema tumesikitishwa na hatua ya Polisi kwa sababu Polisi wakiongozwa na Kamishna wa Polisi Zanzibar, CP Hamdani Omar Makame, waliitisha kikao kati yao na vyama vya CUF na CCM siku ya Ijumaa, tarehe 28 Agosti, 2015 hapo Ziwani kwenye makao makuu ya jeshi hilo Zanzibar na kuzungumza namna bora ya kushirikiana baina yetu ili kuepusha vitendo vya vurugu na fujo na kuhakikisha tunaendesha kampeni na harakati nyengine za uchaguzi kwa salama na amani.
Ni kwa sababu ya mazungumzo hayo ndiyo maana CUF tokea siku ya uzinduzi wa kampeni zetu tarehe 9 Septemba hadi jana kwenye mkutano huo wa Mpendae tumekuwa tukiwaeleza wafuasi wetu na wananchi kwa ujumla juu ya umuhimu wa kushirikiana kutunza amani na utulivu nchini kwetu. Hatukutegemea kwamba wakati sisi tunafanya hivyo, wenzetu waendelee na vitimbi vyao vinavyolenga kuchafua amani na utulivu ulioonekanwa tokea tumeanza kampeni.
CUF leo hii tutaiandikia Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kuwaeleza juu ya uchokozi huu wa CCM, kuwataka wakionye Chama Cha Mapinduzi juu ya vitendo vyake hivi na pia kuwataka Tume kusimamia ratiba ya kampeni ambayo tulikubaliana kwa pamoja baina ya vyama vyote vya siasa, Tume yenyewe na Jeshi la Polisi katika mkutano ulioandaliwa na ZEC tarehe 4 Septemba, 2015. Pia tutamuandikia Kamishna wa Polisi kumueleza malalamiko na masikitiko yetu kutokana na kitendo cha Polisi wake kushindwa kuwazuia vijana hao wa CCM na badala yake kuwalinda ili waweze kufanikisha uchokozi wao.
Mwisho, CUF tunaendelea kusisitiza kwamba tukiwa chama makini kinachojiandaa kuongoza Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kupewa ridhaa na wananchi wa Zanzibar tutalinda amani na utulivu uliopo na hatutoingia katika mtego wa njama za CCM ambao wamedhamiria kuvuruga amani iliopo baada ya kukata tama juu ya uwezekano wa kushinda uchaguzi.
CUF tunaendelea kutoa wito kwa wanachama na wafuasi wetu na wananchi wote kwa ujumla kufuata sheria na pia maelekezo ya viongozi wetu katika kutunza amani na utulivu wakati wote wakijua kwamba tunaelekea katika ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015.

HAKI SAWA KWA WOTE

ISMAIL JUSSA
MKURUGENZI WA MAWASILIANO – TIMU YA KAMPENI YA CUF
ZANZIBAR – 12 SEPTEMBA, 2015

Mgombea wa UKAWA Tanga afariki kwa ajali ya gari.

$
0
0

Nimesoma kwa masikitiko na majonzi kuhusu ajali iliyompata kaka Mohamedi Mtoi aliyekuwa akiwania Ubunge katika jimbo la Lushoto kwa tiketi ya CHADEMA na mwavuli wa UKAWA.

Nimesikitika sana kusikia kuwa ameaga dunia.

Nilimfahamu Mtoi kupitia mawasiliano ya intaneti baada ya yeye kuniandikia kwa utani na baadaye nikagundua kuwa alikuwa mmoja wa wanafunzi wa mama yangu katika Chuo cha Ualimu Korogwe.

Tangu nifahamiane naye kwa miaka mitatu, tumekuwa tukiwasiliana hapa na pale hasa kwa machapisho yake kadha wa kadha aliyokuwa akiyatuma na kwa salamu alizokuwa akinitumia punde anapoonana na kumjulia hali Mama yangu.

Lowassa avunja ngome ya CCM Singida

$
0
0

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akionyesha mfano wa funguo kwa umati wa wananchi wa Singida, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015.


Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.

















Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Tundu Lissu akimuonyesha Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, mfano wa funguo wenye ujumbe, aliopewa na wananchi wa Singida, wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015.

Lipumba aelekea Mecca kuhiji.

The dilemma of Africa’s reformers

$
0
0
How corruption becomes a necessary vice for successful politicians who win elections by denouncing it

Here is a thought experiment. Imagine you are a presidential candidate for the 2016 elections in Uganda. You have all the good policies and ideas. And you want to build a winning electoral coalition. What is the most critical thing you need? It is building an organisational structure that allows you to reach all parts of the country.


Now, in most poor countries, modern institutions like political parties, farmers’ cooperatives, labour unions and other civic associations to link candidates and their programs to targeted voters are either weak or absent. This is especially so in those parts of the country where most voters are – rural areas. The solution in our context is to identify powerful pillars of opinion (influencers) in the different ethnic and religious communities as the building blocks of your organisational infrastructure. These include influential prelates, powerful traditional leaders and other pillars of opinion such as respected elders, successful businessmen, articulate youths, teachers etc.

I admit that because of rapid growth of the economy over the last 28 years, the explosion in education and the spread of access to mass and social media, Uganda has a large community of citizens whose primary identity is not religious or ethnic. These are the urbanised second and third generation middleclass citizens on social media. Many of these can be efficiently reached and mobilised through their hobbies like sports and entertainment, or through their professions (lawyers, doctors, engineers, teachers), or occupations (small and medium scale traders in the informal sectors – boda bodas, barbers, vendors, kiosk owners, bartenders), etc. However, the vast majority of voters are still located in the religious and ethnic sphere.

What attracts these influencers to one’s candidature? It may be because he is charismatic (like Kizza Besigye) and has courage to denounce the ills of the incumbent. They may feel alienated by the incumbent government and/or because the new candidate’s message of change appeals to their aspirations and ideals. But the most powerful incentive in a poor country for such powerful elites is the prospect of electoral success and the material rewards this promises.

President Yoweri Museveni’s success is based on many things – his claim to being a freedom fighter that restored peace and economic growth, his ability to use the state machinery to bully his opponents and rig the vote. However, his greatest card is his ability to retain the loyalty of a large number of these influential figures of opinion in our different ethnic and religious communities through state patronage. He has crowded his opponents out of the market for these influencers by the sheer size of cabinet, presidential advisors, RDCs, security agencies and the State House budget for donations.

But let us assume you defeat Museveni and become president. How do you reward these influencers and retain their loyalty, especially given the sacrifices they made in braving state intimidation and harassment to help you secure victory? Well, by appointing them to powerful and/or lucrative government jobs as ministers, managers of big government agencies and businesses etc. One reason for this is for them to deliver on your programs. The other is for them to retain the loyalty of their followers and expand your political base. They achieve the latter by using public office to dispense patronage.

To retain their following, they help their campaign agents and other lower elites get jobs in government (this undermines merit-based recruitment) and lucrative public contracts (which undermines transparent and competitive bidding) etc. And they are always accosted by their followers with demands for helping meet children’s fees, medical bills and contributing to funeral expenses etc. They cannot do this on their official salaries. They need to steal, hence corruption.

Therefore if you actively oppose their corruption, you will actually be cutting the hand that feeds your political machine. If you arrest them en masse, they will join the opposition parties to defeat you at the next election. You cannot keep them in jail because they are entitled to bail. And you will not secure convictions against them because they will bribe police investigators, prosecutors and judges. If you interfere with the courts, you will be accused of undermining due process and judicial independence and international human rights groups will join them in condemning you.

With the sole exception of Paul Kagame in Rwanda, successful politicians in Africa have been forced to climb down from the skies of utopia to the hard rock of reality. Rather than see corruption as an evil to be fought, they realise it is a virtue (or a necessary evil) for maintaining political support. I will discuss why Rwanda under Kagame is different another day. Point is that the incentive structure of our politics undermines reform of the status quo. How?

The beneficiaries of corruption are the most powerful and articulate segments of the society, and often they have a large following because of the patronage they dispense to their followers. They appear in local and international media and interface with international human rights groups. The victims of corruption are ordinary citizens who have little or no voice in public affairs. And they are likely to support a thieving politician because he shares their ethnicity or religion and has given them some handouts from his public loot.

You can alienate these influencers and decide to base your government’s legitimacy on serving ordinary people. This will need to reform the state and build capacity for effective and efficient delivery of public goods and services. But how long will this take? Most studies show between 15-25 years at best. But your re-election is only five years away. And the budget of $150 dollars per person per year in Uganda is too small to enable government to provide the basket of public goods and services to all its citizens effectively.

The best solution seems to be a one term presidency. That will allow you to do so much good even if you do not get re-elected. However, if the thieves gang up against you and win, you will watch in tears as all your reforms are reversed. What you left of a clean government becomes a den for thieves. So what was the value of your five years of effort? You think perhaps it is better for you to retain some thieves in order to win re-election and protect the gains of your government.  But this, even with all the good intentions, places you on a slippery slope. That is the dilemma reform-minded politicians face.

Mkutano wa CUF Jimbo la Mahonda

$
0
0
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika 

 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na vijana katika barza mbali mbali za CUF Mkoa wa Kaskazini Unguja kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Mwanakombo, jimbo la Mahonda.
 Baadhi ya wafuasi wa CUF waliojitokeza katika mkutano uliofanyika viwanja vya Mwanakombo, wakimsikiliza Maalim Seif (hayupo pichani). Picha na OMKR

Mansour Yussuf Himid akihutbia 
Wafuasi wA CUF waliofika kwenye Mkutano huko Mahonda



 Baadhi ya wafuasi wa CUF waliojitokeza katika mkutano uliofanyika viwanja vya Mwanakombo, wakimsikiliza Maalim Seif (hayupo pichani). Picha na OMKR.

Mgombea wa Ukawa Maulid Mtulila azindua kampeni ya ubunge jimboni Kinondoni!

$
0
0

Meza kuu!

Mgombea wa Ukawa Maulid Mtulila azindua kampeni ya ubunge jimboni Kinondoni!


Mgombea ubunge wa UKAWA kupitia chama cha CUF Maulid Salum Mtulia akihutubia mamia ya watu waliohudhria uzinduzi wa kampeni za ubunge jimbo la Kinondoni leo jioni.
Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA leo hii vimezindua kampeni za ubunge kwa jimbo la Kinondoni ambapo mamia ya watu walihunduria katika viwanja vya Mapilau. Ukawa wameamua kusimamisha mgombea mmoja kwa kila jimbo toka vyama vya Chadema, CUF, NCCR Mageu na NLD ambapo kwa jimbo la Kinondoni Ukawa imemsimamisha Maulid Salum Mtulia.




Bw Mtulia akimwaga sera leo hii jioni Mwananyamala katika viwanja vya Mapilau.





Baadhi ya viongozi wa vuama vinavyounda UKAWA wakiomba duaa kabla ya mkutano kuanza rasmi.
Wakati wa duaa!



Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Profesa Abdallah Safari akihutubia mamia ya watu waliohudhuria uzinduzi wa kampeni za UKAWA kwa ubunge wa jimbo la Kinondoni leo hii jioni.

Picha zote na 
Hassan Kachloul

JIUNGE KWENYE KIPINDI CHA JUKWAA LANGU KILA JUMATATU FROM WASHINGTON DC 6PM

$
0
0
JUKWAA LANGU ni kipindi ambacho kitakuwa kikikujia kila Jumatatu, kujadili mambo mbalimbali yanayotokea nchini Tanzania, na zaidi kuhusu Uchaguzi Mkuu


RwandansDecide: The missing link in the term limits debate

$
0
0
It is a noise that was first shouted rudely and presumptuously into Rwanda from far beyond its borders, a means of control, but, now Rwandans must own the question of term limits and turn it into a civilized debate about their nation’s future.144157942419312045381_eb66a28486_o
“I have been asked this question of term limits from the moment I was first elected, sometimes it seems as if I was elected just to leave”, so mused President Paul Kagame, when for the umpteenth time, he was yet again asked whether he would put his name forward as a Presidential candidate for a third time.He was more right than he may have intended.
The President’s off the cuff remark pointed to a deeper truth about not only Rwanda, but, Africa’s relationship with its former colonisers.

It is a relationship about which for the sake of accuracy we should get used to referring to as neo-colonial powers, rather former colonial powers, for despite annual Independence Day celebrations in almost every African country, true independence remains elusive for most, at best a work in progress for some, with the West still assuming the role of latter day suzerain.
The pestering of President Kagame about a third term, virtually days into his first term, was no more than an attempt to exercise this suzerainty.
For many in the West, ranging from media commentators, academics, human rights groups, and of course governments, what is important is not so much whether Rwanda is well governed, for the good of all Rwandans, but more about whether Rwanda is governed in the way the West prescribes.
As early as 2012, Rwanda’s annus horribilis as far as relations with its Western allies were concerned, the then opposition spokesman for Britain’s Department for International Development (Dfid), Ivan Lewis, felt it his role, to declare who should or shouldn’t be Rwanda’s head of state, come 2017.
It is important to note that Lewis is not some maverick, but, a distinguished Member of Parliament, who had every reason to believe that he would soon be in government. At the time the opposition Labour Party was odds on to win the British general election of May 2015.
It should also be noted that his stance on Rwanda was supported by his opposite number in the Conservative Party, which in the end won that election.
Lewis will have assumed it his responsibility, as he saw it, to fire a shot across the bow of the Rwanda Patriotic Front (RPF), by listing various demands to which Rwanda had to adhere, if it were to continue to receive financial support from Britain.
The list of demands, couched as agreements, was nothing short of instructions on the policies Rwanda was to pursue both internally and in its foreign policy, especially in relation to the Democratic Republic of Congo (DRC).
Lewis wanted the British government to state publicly, that President Kagame should not be a presidential candidate come 2017.
For any politician, let alone an opposition politician to effectively issue instructions to a sovereign nation, should be unheard of. And of course it is unheard of, except when it comes to the relationship between Western, and African nations, where it is virtually expected.
What is even more instructive is that as well as his own judgement, Lewis’s stance on Rwanda would certainly have been informed by lobbying from various NGOs, organisations like Human Rights Watch, and others who see it as their role to “apply pressure” on African governments.
Often, it should be said, they do so for good, laudable intentions, and it must be owned that for far too many African governments, the welfare of their people tend to be a low priority.
Just as often however, it is a struggle for control, with NGOs assuming a time honoured right to exercise influence over African countries. In 2012, Human Rights Watch in particular stepped up its lobbying against Rwanda, its efforts were rewarded with the discomfort that Rwanda endured, and from which it took time to recover.
Of course, they would say that such lobbying is against one man, President Kagame. This is disingenuous. To exert control, it is imperative that the leader be isolated from his people, thereby making it possible to claim that the intervention is to protect the people against an overbearing state, or a “big man” a “strong man”, or less imaginatively, a dictator, an autocrat.
For the Western consensus President Kagame may as well have been elected just so he can step down. By doing so, he would be conforming to what is prescribed for him.
We should be in doubt, President Kagame, and the RPF have been a startling surprise for the West,. Rwanda has thrown a spanner in the works of a well established system. By the rules of the established order, Rwanda’s recovery was to have been led by the West, with Rwandans playing a minor supporting role.
Kigali was supposed to have been home to representatives from a panoply of multilateral institutions and organisations. From there they would have panned out around the country to save Rwanda by day, returning to Kigali to play and rest by night.
Rwandans would undoubtedly have been allowed to choose their head of state, but, the process would have followed firm advice from the donor community. If Rwanda had followed this scenario, there would be no descriptions of President Kagame as a “controversial figure”, a “polarising figure.”
The country would also be little more than a UN protectorate, an unending experiment for developmental “experts.”
Instead, we have had a Rwanda Patriotic Front (RPF) which has sought and accepted help from the West as long as it was offered in a spirit of true partnership, and as long as it accepted that Rwandans need must take their destiny in their own hands.
And the approach is succeeding beyond anyone’s expectations. The jury is in, all questions settled, we can all go home. The government that Rwanda needs is the government that Rwanda has. This is accepted by even the most grudging among that jury.
Rwanda has received much needed support and help from the West, help that continues to be cherished.
Ironically however, all of that help and goodwill would have been for nought, had the RPF gone along with what is the norm across Africa, and along with the help, accepted making Rwandans bit actors in their own story.
The question of whether or not to amend the nation’s constitution to scrap term limits be it temporarily or permanently, is of profound importance, nevertheless, it never should have become the most important story about Rwanda.
It has become so because it is the most important story for Western opinion. As the days roll on towards 2017, the hue and cry about term limits will become ever more deafening.
Already the usual African commentators who wait to see where the West is pointing before they commentate on their own continent have picked up the baton and are running with it.
As part of the world community, Rwandans should listen to these voices, and then politely, but, firmly, explain to them that if their worry is the putative threat to democratic principles in Rwanda, then they should allow Rwandans their democratic right to decide who heads their government, and how that government is constituted.
Rwandans should now take ownership of the debate, and shape it. If the rest of the world wants to join in the conversation, they could be welcomed, but, on a clear understanding that it is framed by Rwandans, for Rwandans.
The people of Rwanda should be in doubt that their achievements so far owe everything to the determination of the RPF to forge a Rwandan path, an African path, instead of leading its people into the well worn cul-de-sac that is the post-colonial/neo-colonial African state.
The RPF too must hold fast to its revolutionary credentials as a movement, the best to withstand the attacks to come, for come they will. Its leadership must not lose sight of the fact that not even its most cherished friends can know more about how to best govern Rwanda than it does.
The RPF-led government has rightly been referred to as a learning government.
Yes, Rwanda has much to learn from others, from the Western world, and it should seek to draw deep from the fountain of human knowledge, experience and learning, but, these lessons must be applied through a Rwandan filter if they are to be of any use, and only Rwandans can properly interpret these.
The debate on term limits should be neither a response, nor a reaction to external howls of “autocracy” or “dictatorship”.
The moment it becomes either a response or a reaction, is the moment Rwandans begin to lose their way. It is the moment they begin to subordinate the conversation to someone else’s agenda, someone else’s motion for a debate that should be Ikiganiro, with all that that means.
If that is understood, it will immediately become obvious that this is not a conversation about one Paul Kagame. Were the question about President Kagame, the answer would be short and unequivocal.

There is never going to be a time when Rwandans do not want him to be at the head of their government. Even those who may dislike him, their own interests, will direct them to put a cross against the name Paul Kagame in any ballot box.
Any fair, objective observer will acknowledge that for much if not all of his adult life, President Kagame has sought to serve his people. The former US president Bill Clinton has described him as “one of the greatest leaders of our time.” Few Rwandans would disagree.
The man himself tends to bat away such praise. At times he even seems impatient with it, as though he would rather people focused on what needs to be done, and what he has done, rather than the person behind much of it.
For such an outstanding leader, it is interesting to note that he has never put himself forward for a position of leadership. He always seems to step forward to serve, only to be pushed into positions of leadership. Perhaps that’s the secret to his gifts as a leader.
He feels intensely the call to serve the needs of his people, his nation, but, does not feel the need to seek power, or positions of leadership. And because he cares more for service than the trappings of power, he can remain true to himself.
Yet, listen to RPF’s opponents, or indeed most Western observers, and they will have one believe that it is as certain as the sun rising over the hills of Rwanda, that President Kagame will be head of state after 2017.
Most Rwandans will hope they are right. Those who have regarded their President well enough however, will know that he will need convincing, if he is not to walk away from state house. The overwhelming majority who want him to run again, should know that the more meaningful the debate the greater the chance of convincing him to run.
Amending the constitution is a grave responsibility and it should always trigger a national conversation. One understands why term limits were written into the Rwandan constitution, to ensure that the democratic will of the people would not be usurped by power-hungry individuals.
There is however a contradiction at the heart of this. What if the democratic will of the people is to retain a particular candidate beyond the stipulated term limits? Why is it right to deny them their Democratic will to choose the leader they want?
There is clearly a problem of leaders not wishing to relinquish power. This is not exclusive to Africa, but, it is particularly true of Africa. Imposing term limits on the people (because it is the people on whom the limits are imposed, as it is they who are prevented from choosing their preferred candidate), is in many ways, fixing a problem at the wrong end.
Rather than seek to determine which individuals should or should not run for the Presidency, the focus should be on ensuring the independence, transparency and probity of the electoral system so that whoever becomes head of state is truly elected by the majority of the eligible electorate.
That way the people can retain their democratic right to elect whomsoever they wish, as often as they wish.
Rather than enshrine term limits in the constitution, enshrine protection of the electoral institutions in the constitution.
There is of course the argument that amending the constitution sets a bad precedent which may allow unpopular leaders to hang on to power. Again the response to this is to strengthen institutions.
Judging by the dramatic condemnations of any suggestion to amend the constitution, one would think that constitutional amendments are a rarely heard of exception, rather than what they actually are, the norm.
As the bible could have said, constitutions were made for man, not man for the constitutions. What is sacrosanct within the constitution is the will of the people, and if it is the will of the people to amend a part of the constitution, then that should be given due consideration.
And there are those who argue that the lifting of term limits implies that only one man can be trusted to govern well. It’s a valid argument, however it too must answer why it should not be permissible for a people to choose the leader they want, provided that leader is willing to heed their call. To say that there are others is surely far from a satisfactory response.
President Kagame has stated that the debate about term limits is not a question for him, but, for Rwandans, a conversation for them to have. He is surely right in this. He is the subject of the conversation.
Once the people of Rwanda have reached a consensus, he will then either choose to accede to their wishes or choose to deny them their wish.
One can understand why the majority of Rwandans may feel that there is little to debate. Why for them all that is left to say, is in this era of social media, #RunPaulRun, or #NoOneButPK.
The last twenty odd years have served as a debate, and their conclusion is that they need President Kagame’s leadership. When you have been skilfully delivered from an apocalyptic tempest into calm waters in an uncertain sea, what person in their mind would want to change the helmsman.
The debate however must be had, not least to avoid complacency and ensure constant renewal.
What is certain is that the real disastrous precedent that should be avoided is for Rwanda to arrive at a decision that is a result of either influence or pressure from outside.
Nothing good has ever come of that, and much that is insidious, destructive has come from it. It was the great man of science Albert Einstein who is reputed to have said that the definition of insanity is doing the same thing over and over again, and expecting a different result.
In other words, the moment the conversation turns on what President Obama opines, or pronouncements from Paris, or London, or the EU, or from this or that NGO, then Rwanda will be jeopardising the gains of the last twenty years, and only they know how costly it can be to follow such siren voices into an unknowable future.
The tragedy of Rwanda’s history, like that of Africa in general, begun with the trampling down of its culture, its sense of self in a mad self destructive rash to deliver itself into the self serving arms of external powers.
In rebuilding the Rwanda nation, the RPF has often looked back to the future, framing modern Rwanda within a context of Rwandan culture. This could be the healing of the schizophrenia that haunts not only it, but, Africa, which results from the racially bigoted notion that to be modern, Africans have to be europeanised.
It is an exciting journey from which Rwanda must not be diverted. They and only they have the right to determine the leadership that will lead them to even greater achievements.
The writer is a broadcast journalist based in London.

Lowassa aitingisha Shinyanga

$
0
0

ZIARA YA KAMPENI YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA MKOANI SHINYANGA

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiongozana na aliekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Ndg. Hamis Mngeja wakiwapungia wananchi wa Mji wa Kahama, wakati wakiwasili kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akipokelewa na Mwenyeji wake, Mgombea Ubunge wa Ukawa kupitia CHADEMA, Mh. James Lembeli, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akilakiwa na maelfu ya wakazi wa mji wa Kahama, leo Septemba 14, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiteta jambo na Mgombea Ubunge wa Ukawa kupitia CHADEMA, Mh. James Lembeli, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015.

Mwanasheria wa CHADEMA, Mh. Tundu Lissu akihutubia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015.

Mgombea Ubunge wa Ukawa kupitia CHADEMA, Mh. James Lembeli, akihutubia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015.


Vijana wa shinyanga wakiwa juu ya mti kumshuhudia mheshimiwa Lowassa


Sehemu ya Umati wa wananchi wa Mji wa Kahama, wakiwa wamefurika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa Kampeni wa hadhara wa kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015.


Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnadi Mgombea Ubunge wa Ukawa kupitia CHADEMA, Mh. James Lembeli, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwanadi Wagombea wa Udiwani wa Kata mbalimbali za Kahama, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akipokea mfano wa funguo yenye ujumbe wa "Mabadiliko", kutoka kwa Mgombea Ubunge wa Ukawa kupitia CHADEMA, Mh. James Lembeli, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini leo Septemba 14, 2015.Picha kwa hisani ya Othm

LOWASSA AITIKISA NGOME YA MAGUFULI, CHATO MKOANI GEITA

$
0
0


Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnaji Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato, Dkt. Benedicto Lukanima, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya Chato, Wilayani Chato, Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015.




Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya Chato, Wilayani Chato, Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015.





Geita leo Septemba 16, 2015.

Vipi Mchezo mchafu unaandaliwa, kuvuruga amani.

$
0
0
Assaalmu alaikhum ndugu Watanzania Bara ( Tanganyika), Zanzibar na Viongozi wa UKAWA. Bila yakupoteza muda mwingi naanza kuingia kwenye Mada niliokusudia. Kama tunavojuwa kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unafaida kubwa ndani yake ikiwa tu Muungano huu Utakuwa wa Serikali 3.. Kwasababu Mapato ya Muungano Yanatosha kuzisaidia Serikali hizi 2 ambazo zitakuwa na Mamlaka kamili kama Ukawa na CUF itashinda Uchaguzi wa October 2015. Jengine ni Makubaliano ya Ukawa kwamba Wazanzibari ( Mashekhe Wa Uwamsho) Walioshitakiwa Bara kwa Kosa la Ugaidi watolewe na kama wana makosa kweli yaendeshwe Zanzibar.

Sitaki kurudia kuchambua Muungano kwasababu sio Kusudio la mada hii, bali nina Habari nyeti nilizozipata kutoka kwenye Familia yangu ambamo tuna watu 2 ni Wanajeshi Wastaafu ambao Wanatumiliwa na CCM hivi sasa. Wametueleza kwamba CCM Wana Plan 3 kubwa ambazo watazitumia ili kushinda Uchaguzi wa 2015.

1. Plani ya kwanza, Nafikiri tunaijuwa sote ni ile yakutumia kura za Wizi ambazo zitapigwa na baadhi ya Mawakala waliokwisha lishwa Fedha.
b Kutumia watu wale ambao wamefanikiwa kupata Number na majina ya wananchi ambao walikuwa wakidangaywa Mitaani na watu Wasiojulikana ili wajiandikishe kwenye Organisation zakusaidia masikini.
c. Nikutumia TUMe za Uchaguzi kubadilisha matokeo ya Bandua Bandika.. Hili Liliwahi kufanywa kule Zanzibar Wakati wa Salmini Amour katika uchaguzi wa kwanza wa Vyama vingi 1995.

2. Plani ya pili, ni kuchelewesha kutoa Matokeo ya Uchaguzi kule ZAnzibar na Bara hasa matokeo ya Uraisi wa Muungano na uraisi wa Zanzibar. Kwasababu Wanajuwa kwamba wakizipata Nafasi hizi Raisi wa Tanzania akiwa wa CCM Atafinyangwa na Chama chao Aendelee na Sera zao za 1800. Na nafasi ya Uraisi wa Zanzibar kama tunavojuwa Dr Sheni Hana Say yoyote yeye Huburuzwa na Seif Ali Iddi kwakupitia Mkono wa CCM Bara. Hivo uchelewashaji wakutoa Matokeo ya Uchaguzi wa Maraisi utawafanya Watanzania wakusanyike au Waandae Maandamano. CCM walivopanga kutumia Vyombo vya Ulinzi kama vile JWTZ kupita mitaani na Silaha kali za Moto ili Watu Waliokusanyika Waogope na wakimbie.

b. Nikuzima Umeme, katika Mitaa yote ili kuwatia Wananchi Gizani katika kipindi hicho. Katika Sakato la kuzima Umeme Kutatolewa Vijana Wa CCM ambao Watavishwa Uniform za Vyama vilivounda UKAWA hasa Chadema na CUF ili baadhi yao Wavamie ofisi za Balozi hasa ( American na British, Norigean na Denish). Na baadhi ya Vijana hawa wa CCM waingie Mitaani kuchoma choma maduka na kuvunja vunja Vitu, kuiba na uharamia mwengine.. Hili ndilo tokeo wanalolitaka litokee ili Wapate kuwapaka matope UKAWA na Vyama vya Upinzani . Vile vile watakuwa na Ushahidi wa kupinga vyama vingi kushika hatamu ya Serikali na kuipa uzito Plan yao ya 3 ambayo wanaipanga kuifanya kama hizi plan 2 hazitafanikiwa. …. Kwa upande wa Zanzibar CCM watakaovishwa Nguo za Cuf wataanza kuchoma Makanisa kama walivofanya Wakati ule wa 2011.

(C) Nikutumia Vyombo vya Habari kutoa matokeo ya Wizi juu ya jamii au Majambazi ili wananchi wawe na hofu zakuto kutoka nje na badala yake wajifungia majumbani mwao ili CCM itangaze matokeo na ionekane Wananchi Wameridhika Nayo..Katika.

3. Plan ya tatu, Ni ile ilioandaliwa kuwalisha Sumu Watu Mabalozi juu ya Ugaidi ambao Kisiwa Kinachotuhumiwa kwa Ugaidi ni Zanzibar na Viongozi Wanao support Magaidi ni Viongozi wa Ukawa yaani ( Edward Lowassa na Maalim Seif Sharif). Kutokana na Maelezo ya Familia yangu hii ambayo ni Wakereketwa (bandia) wa CCM- Wametueleza kwamba Hii yakuwalisha maelezo juu ya Ugaidi Ndio linaandaliwa na Balozi Seif Ali Iddi Na kwasababu Wamewasikia Wapinzani wa CUF wakisema kama matokeo hayata tangazwa Wataandamana. Wanajuwa Wazanzibari Watakapo andamana wengi wao Watakuwa na hasira za Mashekhe Wao ambao Wametiwa ndani. Hivo mambango yatakuwa yanagusia Magaidi ( Mashekhe Wasio na hatia). Na pili wanajuwa Wazanzibari wakiandamana watavaa kanzu nyeupe hapo Ndipo wataoata Ushahidi kamili kwamba Wandamanaji hao ni Watu Wenye Msimamo mkali wa Kidini..

b Sumu nyengine itapikwa kwenye jamii zenye Madhehebu ya Ki-Kristo na Kiislamu kuanza kuonana Wabaya wenyewe kwa wenyewe. HGii ni njama inayotaka kufanywa kule Zanzibar yaani Unguja na Pemba.. Jamaa wanatueleza kwamba kuna Vijana wa CCM kutoka Bara Wameshaletwa Visiwani na Wanakaa katika Makambi za Majeshi na wengine watu Wenye asili ya Tanga kule Wawi wamelipwa Fedha nyingi Kufanya Uharamia wakuchoma Makanisa.. Watu hawa Watavishwa Uniform za CUF ili Ionekane CUF inapinga Ukristo na UKAWA iparaganyike.Tukumbuke Tutakapokubali kugaiwa Kidini au Kimadhebu ndio Tutatawaliwa.. Haya Yamewatokea Wazanzibari kugaiwa wenyewe kwa Wenyewe na mfumo huu huu wa CCM na Wamejiona wapi walipofika hivi sasa.

Nimemshukuru Kaka yangu huyu Mwanajeshi Mstaafu ambae amenambia niandike makala hii hara ili Watu wa Mitandao ya Kijamii Wawe na hadhari nini Mipango ya CCM kuhujumu Democrasi ya Watanzania Wenye Ustahamilivu na Heshima.. Na Ametueleza kwamba Kuna Document yakufanya hivo na Atatuletea atakapo ipata. Hivo Doccument hiyo tukiipata tutaiweka tena hapa Mtandaoni ili tupate Ushahidi wa Doccument ili tupate kuijadili kwa kina kirefu..

Ningewamba Wana Mzalendo Wachukue Ujumbe huu waupeleke mitandaoni ili na Wenzetu wa Bara wajuwe njama za CCM.. Pia ningeomba Ujumbe huu uwekwe kwenye makala za Mkono wa Kulia ili Tupate kuchangia na kusaidiana mawazo nini Tufanye ili Kuingoa CCM October 2015 ikiwa Kura zetu Zitaporwa?

ZIARA YA KAMPENI YA URAIS YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA MKOANI KAGERA

Kingwendu azidi kuibomoa CCM huko Kibaha

$
0
0
Video ya mwania Ubunge wa Kisarawe kwa tiketi ya CUF/UKAWA, Rashid Mwishehe al maaruf kwa jina la kisanii “Kingwendu Ngwendulile” akijinadi ili achaguliwe kwenye Uchaguzi Mkuu 2015, dhidi ya wagombea wa vyama vigine.



Balozi Seif Afungua Mkutano wa Siku Amani Zanzibar

$
0
0

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufungua Mkutano wa Siku Mbili wa Marafiki wa Zanzibar unaofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. kushoto ya Balozi Seif waliokaa ni Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Suleiman Soraga na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji Khamis.

Muwakilishi wa Taasisi ya Kiislamu kutoka Nchini Uganda Ustaadhat Asma Kunagwa akitoa salamu za Taasisi yake katika Mkutano wa siku mbili wa Amani Zanzibar.

Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Siku Mbili wa Amani ulioandaliwa na Taasisi ya Marafiki wa Zanzibar unaofanyika Zanzibar Beacha Resort ukihudhuriwa na washiriki wa Nchi 9 za Afrika.

Balozi Seif Ali Iddi aliyepo kati kati ya waliokaa akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano wa Amani unaofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beacha Resort Mzizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Picha na – OMPR – ZNZ.


Na. Othman Khamis OMPR.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema upo uhakika kwa Taifa kujiepusha na mauaji, chuki, mifarakano na maasi yote yanayokatazwa na Mwenyezi Muungu endapo kila Kiongozi wa Dini atatumia muda mchache kuwausia wafuasi wake kuishi kwa amani, kuvumiliana, kuheshimiana pamoja na kupendana.

Alisema kazi kubwa iliyo mbele kwa Viongozi hao wa Dini kwa kushirikiana na Wazazi ni kuwasaidia Vijana wao ambao ndio wengi katika Jamii ili waweze kufuata maadili mema ambapo watakuwa na uhakika wa kutoa mchango mkubwa katika kuliendeleza Taifa lao.

Akiufungua Mkutano wa Siku mbili wa Amani Zanzibar unaofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Taifa likipoteza Vijana katika itikadi zisizo sahihi jamii inapaswa kuelewa kwamba Amani ya Nchi inawekwa Rehani.

Balozi Seif alisema ukosefu wa kuwalinda vijana kwa kuwatayarisha kuelekea katika kuleta Maendeleo na Dini na Taifa lao, watafanywa kuwa silaha za maangamizo.


Alifahamisha kwamba inasikitisha kuona Vijana wa Kiislamu wanaingia na kujihusisha na vikundi vya tikadi zisizokuwa za ukweli katika Dini jambo ambalo baadaye huwaingiza katika majanga na matokeo yake kutengwa na jamii zao.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif aliiomba Taasisi ya Marafiki wa Zanzibar ambayo ndio iliyoandaa Mkutano huo wakijumuika pamoja na Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali kuliangalia kwa uana suala hilo la Amani kwa vijana.

“ Neno Amani limekuwa likitajwa na kurudiwa mara kwamba na watu wengi. Ukweli ni kwamba amani haina mbadala. Mbadala wa amani ni machafuko na ili kusiwepo machafuko lazima misingi ya amani ifuatwe “. Alisema Balozi Seif.

Alieleza kwamba njia pekee kwa jamii ambayo itasaidia kudumisha amani ya Taifa ni kutii sheria na taratibu zilizowekwa na Wananchi wenyewe jambo ambalo ni muhimu katika kuelekea kwenye safari ya kulinda amani na usalama wa Nchi.

Balozi Seif alitanabahisha Wazanzibari na Watanzania wote kuelewa kwamba Taifa hivi sasa linahityaji amani, kuvumiliana na kuheshimiana ili liweze kumaliza zoezi zima la uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba kwa salama.

Mapemba Mwenyekiti wa Taasisi ya marafiki wa Zanzibar Dr.Mustafa Yussuf Ali alisema kwamba utumiaji vibaya wa Dini ndio chanzo kikuu cha migogoro inayosababisha umwagaji wa Damu na hatimae kusababisha vifo.

Dr. Mustafa alisema Jamii imekuwa ikishuhudia kila mara baadhi ya Makundi yakiwemo yale ya harakati na ya Kidini yamekuwa yakichangia vurugu zinazoibuka kufuatia kauli na vitendo vyao.

Mwenyekiti huyo wa Taasisi ya Marafiki wa Zanzibar aliwakumbusha na kuwasa Viongozi wa Vyama cha CCM na CUF ambao ndio wenye wafuasi wengi hapa Zanzibar kuwa mfano mwema kwa Watoto wao katika kulinda Amani ya Nchi.

Alifahamisha kwamba Wazanzibari na Watanzania ndio wadau wakubwa wa kuhakikisha amani na utulivu wa Taifa unaendelea kubakia muda wote kabla na baada ya uchaguzi Mkuu ujao.

Wakiwakilisha salamu za urafiki na upendo kutoka Mataifa rafiki washiriki wa Mkutano huo kutoka Nchi tofauti za Afrika hasa zile zilizo katika jangwa la Sahara walisema waislamu wa Zanzibar wana dhima kubwa ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba unafanyika kwa amani.

Washiriki hao walisema suala la amani ndio hasa katiba ya Kiislamu iliyochambua sera na mfumo wa Dini ya Kiislamu ambalo linapaswa kusimamiwa kwa hatma ya vizazi vya sasa na vile vya baadaye.

“ Utovu wa Amani unaelezwa kwamba ni uovu ambao inasisitizwa katika uislamu ama uondoshwe, ukemewe au muhusika anayeuona kama anashindwa na hayo ana wajibu wa Kuchukia “. Alisema Mmoja wa washiriki wa Mkutano huo kutoka Nchi rafiki.

Walieleza kwamba hakuna Muislamu wa kweli asiyeelewa umuhimu wa amani ambayo ndiyo inayotoa nafasi kwa jamii kuendelea kufanya shughuli zao za Kimaisha za kila siku sambamba na kutekeleza ibada.

Mapema Naibu Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Thabit Nauman Jongo akitoa muhtasari wa Mikutano ya Taasisi ya Marafiki wa Zanzibar baada ya kukubaliwa kuendesha shughuli zao hapa Zanzibar alisema yapo mafan ikio makubwa yaliyojitokeza ya kuisimamia amani kufuatia mikutano ya Taasisi hiyo.

Sheikh Jongo alisema Taasisi ya Marafiki wa Zanzibar imeingia Zanzibar Mwaka 2014 na kuomba Kibali cha kufanya kazi zake hapa Zanzibar katika kuelezea umuhimu wa kudumishwa kwa amani ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki.

Alisema hatua ya Taasisi hiyo imekuja kufuatia matukio mbali mbali yaliyowahi kutokea katika baadhi ya mataifa ya Afrika ya kuichezea amani na kusababisha majanga yatakayoendelea kukumbukwa milele na vizazi vya Mataifa hayo.

Washiriki wa Mkutano huo wa Marafiki wa Zanzibar wanatoka katika Mataifa ya
Mzumbiji, Malawi, Zambia, Namibia, Rwanda, Uganda Kenya, Tanzania Bara na wenyeji Zanzibar.

Ujumbe wa Mkutano huo wa Siku mbili wa Marafiki wa Zanzibar unaeleza kwamba Uchaguzi utapita Zanzibar itabaki. Piga kura kwa amani na Maendeleo.
Viewing all 1039 articles
Browse latest View live